madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,488
- 2,904
Tusio soma Kweli mnatuoneaaHabari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Tuliokimbia shule kisa umande mnatubagua
Sanaaaaa
Kila uzi msomi wa degree
Asee tupeni nafas
Tusiosoma banah
35+ msomi halafu hana mke sijuii lakini
Mkuu ukiona mwanamke anataka mwanaume mwenye kipato au elimu ujue anatafuta ajira...Wanawake badilikeni hakuna uhusiano kati ya elimu na ndoa cha msingi ni mtu anayejielewa na kuelewa nini maana ya mke hayo mambo mengine ni ziada, unaweza kumpata huyo mwenye degree unayemtaka na asijue maana ya mke
njoo pm tuongee vigezo na mashart huzingatiwaHabari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] factMkuu ukiona mwanamke anataka mwanaume mwenye kipato au elimu ujue anatafuta ajira...
Unacheka mazuri eeh [emoji53][emoji53][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwa nn mnapenda sana kusema awe mcha Mungu?? Mnadhani kumwona mtu ana mcha Mungu ndo kuwa na Mapenzi ya dhati kwako. Binafsi nimetokea kuamini kuwa % kubwa ya wanaosali ndo watenda dhambi kabisaa.Habari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
5GBKwenye mapenzi, Upendo wa dhati huwa hauchagui elimu, kazi, sura wala umri.. Unajikuta tuu ushapenda. Lakini kwa upande wako unachagua wa hadhi yako na hiyo ndo huwafanya wengi kukosa wenzi..
Tulia mwambie Mungu akuletee wako, huyoo wa kuchagua hivyo waweza mpata ila akawa anacheza tuu na hisia zako, akichoka ataondoka..... Kuwa makini