Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Words of wisdom!!!
Madem ni kama mahindi choma,
Una toa lines zako mbili upatie mwingine.
atakayebaki na gunzi shauri yake
Mtu na mzazi mwenza hawajawahi kuiacha ndoa salama.
Tuliozalisha kabla tunalijua hilo.
Ni bora kuwa mkweli kuliko kujifariji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiaje? Fafanua ueleweke
Nilishang'atwa na nyoka, naogopa kuingia kichwa kichwa ndo maana nimeweka vigezoKwenye mapenzi, Upendo wa dhati huwa hauchagui elimu, kazi, sura wala umri.. Unajikuta tuu ushapenda. Lakini kwa upande wako unachagua wa hadhi yako na hiyo ndo huwafanya wengi kukosa wenzi..
Tulia mwambie Mungu akuletee wako, huyoo wa kuchagua hivyo waweza mpata ila akawa anacheza tuu na hisia zako, akichoka ataondoka..... Kuwa makini
Anae weza fanya Mapenzi kufa au kupona ni Mwanamke nasio mwanaume so kama hayo mapenzi ya x wako umeya zika nailihali mnamtoto vp kwa mimi wakuja leo.Habari za wote humu ndani.
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa Mara ya kwanza nilikutanq na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vzr tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namba ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] haijawahi tokea mwanamke kusema anataka mkulima au muuza nyanya, that's y unadate na wrong person hebu mademu badilikeni sio kisa elimu ndiyo usiolewe hata na mwanaume underground utasubiri sana waje.Habari za wote humu ndani.
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa Mara ya kwanza nilikutanq na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vzr tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namba ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli, inaonesha yeye mwenyewe hajitambui wala hajui anataka nn ktk ndoa. Kaweka vigezo ambavyo havina mashiko kabisa na kimsingi vigezo hivyo havina msaada wowote ktk ustawi wa ndoa. Probably huyu dada ndio alikuwa wrong person kwa huyo mume wa kwanza. Akakae na ajipange upya.Nakushauri!
Masuala ya degree, umri n.k Achana nayo! Angalia mwanaume anaejielewa na anajua kutafuta pesa. Mimi nimesoma chuo na jamaa anafanya kazi vodacom na kipindi kamaliza form 6 na kufanya kazi kwa Muda kadhaa vodacom alimuoa mkewe mwenye masters na akiwa assistant lecture UDSM na baada ya hapo mkewe kaenda kusoma PHD Kawa Dr. na anafanya kazi hapo UDSM. Afu mmewake ndo aliamua ajiendeleze kusoma degree na kafundishwa na mkewe class na kamaliza maisha yanaendelea, jamaa anafanya kazi vodacom wakati mkewe ni Dr. Udsm.
Kwa hiyo habari ya vigezo visivyo na maana achana navyo we angalia mwanaume anaejitambua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kwamba wote wanakuwa na matatizo,kuna sababu nyingi mojawapo ni tamaa ya pesa. Kuna madam mmoja alikuwa anapigwa na jamaa aliyeoa kisa pesa akawa amempachika na mimba kabisa.Single mother mna matatizo mengi sana...watu wakisema humu mnawajia juu!!
Nasema hivi kilichomkimbiza mume wako, lazima kitamtafuna na huyu unayemtafuta saizi!
Ushauri tafuta bodaboda umlee, achana na habari za degree..tushashtuka hatukamatiki kizembe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hivyo kuna wengine tuna degree lakini hatuna pesa.Degree.
Kua nayo sio kwamba ndo kujua kumcha Mungu ama kujua kupenda...
What goes around always comes around
Na hao wakulima ndo wenye pesa,sema wanawatumia kama michepuko.[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] haijawahi tokea mwanamke kusema anataka mkulima au muuza nyanya, that's y unadate na wrong person hebu mademu badilikeni sio kisa elimu ndiyo usiolewe hata na mwanaume underground utasubiri sana waje.
Sent using Jamii Forums mobile app