Natamani kuolewa

Natamani kuolewa

Single mother mna matatizo mengi sana...watu wakisema humu mnawajia juu!!
Nasema hivi kilichomkimbiza mume wako, lazima kitamtafuna na huyu unayemtafuta saizi!
Ushauri tafuta bodaboda umlee, achana na habari za degree..tushashtuka hatukamatiki kizembe!

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan jins unavyo ongea as if yy ndiye mkosaji.

What if angeleta Uzi hapa napigwa na mara kadhaa natishiwa kuuwawa. Ungemshaurije?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndipo wanawake wengi mnapokosea.mwenye kuweka vigezo vya aina ya mtu wakua naye ni mwanaume maana yeye ndo muoaji,mwanamke wewe kazi yako nikuwindwa kwaiyo unachotakiwa nikujiweka kwenye mazingira bora yakua na sifa zakumfanya mwindaji bora akuone nakukuwinda.Unapoweka vigezo vyako wakat hukidhi haja ya vigezo vya wanaume nakuhakikishia hutakaa umpate uyo unayemtaka.kwanza ayo mambo ya degree ni upuuzi mtupu wewe sema upate mwanaume atakayakupenda kwa dhati ayo mengine mtayaweka uko mbele pamoja.
 
Kwa nini usirudi kwa mumeo?
Hali yenu ya ushindani ndio inayowatesa sana kwa sasa, nahisi hivyo!!
Hamtaki kusamehe na kujishusha

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mateso ya ndani ya ndoa hayavumiliki

Nimeona ndoa zinatesana kwasababu za kishirikina za kutoa makafara tena ya watu.

Dada kaolewa hakuwa anajua ya ndani alipojifungua tu mtt siku ya 7 kaenda Hosp kutolewa nyuzi, mama mkwe akachukua mtt wake machanga wa siku 7 akaenda naye kwake. Dada anarudi hakuti mtt na anamuambia mume mume anasema ni kawaida ya mila zetu. Akahoji mbona hukuniambia akaambiwa utayajua baadae.

Mama akanyanyuka kumfwata mtt huko kwa mkwe. Akakuta mtt analia balaa. Anamuuliza Dada wa kazi mbona Sasa humbebi anasema Bibi hamtaki

Toka siku hiyo mtt akapata ugonjwa akawa mlemavu wa Akali.

Dada akaanza ukisoma namba mara Bibi anakujaga home anaingia hadi bdrum kwake, anatandika kitanda alimradi fujo tuu huku mume yuko pamoja na mama. Kumbe maskini wanatafuta njama za kumtoa mtt kafara. Siku wifi yake akamwambia live.

Ikabidi huyu Dada aondoke na mwanae kwenda kujificha. Ndio baadae babu mtu akatafuta njia akawapata walioko mafichon wakamnyang'anya mama mtt. Mamma akaenda kanisan, babu akatukana kanisa vby sana. Huku Hali ya mtt unazidi kuwa mbaya.

Mama akatoka akaenda mahakaman, mahakaman akapewe divorce babu na Bibi wakaja wakaweka pingamizi eti wabaki na mtt kwan ni mlemavu wa akili so mama hataweza kumuhudumia. Kesi mpaka Sasa inaendelea.

Je katika Hali kama hii utasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let me tell you the truth. Mwanaume mwenye vigezo ulivyo taja, nae atakuwa na vigezo vyake kwa mwanamke amtakae, na sidhani kama akipewa uchaguzi wa kuchagua mke atachagua aliyezaa. Ni ndoto ya kila mwanaume kuanzisha familia yake mwenyewe. Nakushauri either ulenge kupata mwanaume au uendelee kutafuta vigezo uvitakavyo. Mume wa kweli ni mumeo wa kwanza hawa wengine do not have much faith on them. Wanawake shikilieni waume zenu. Mkiwaacha wakiondoka si rahisi kupata mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee! Kila la heri katika kusaka mume, mungu atakujalia utapata hitaji lako! Lakini kiuhalisia umri wa mume umtakaye wengi wanakuwaga tayari wanafamilia au may be uwe mke wa pili au mchepuko!
 
Kuna mateso ya ndani ya ndoa hayavumiliki

Nimeona ndoa zinatesana kwasababu za kishirikina za kutoa makafara tena ya watu.

Dada kaolewa hakuwa anajua ya ndani alipojifungua tu mtt siku ya 7 kaenda Hosp kutolewa nyuzi, mama mkwe akachukua mtt wake machanga wa siku 7 akaenda naye kwake. Dada anarudi hakuti mtt na anamuambia mume mume anasema ni kawaida ya mila zetu. Akahoji mbona hukuniambia akaambiwa utayajua baadae.

Mama akanyanyuka kumfwata mtt huko kwa mkwe. Akakuta mtt analia balaa. Anamuuliza Dada wa kazi mbona Sasa humbebi anasema Bibi hamtaki

Toka siku hiyo mtt akapata ugonjwa akawa mlemavu wa Akali.

Dada akaanza ukisoma namba mara Bibi anakujaga home anaingia hadi bdrum kwake, anatandika kitanda alimradi fujo tuu huku mume yuko pamoja na mama. Kumbe maskini wanatafuta njama za kumtoa mtt kafara. Siku wifi yake akamwambia live.

Ikabidi huyu Dada aondoke na mwanae kwenda kujificha. Ndio baadae babu mtu akatafuta njia akawapata walioko mafichon wakamnyang'anya mama mtt. Mamma akaenda kanisan, babu akatukana kanisa vby sana. Huku Hali ya mtt unazidi kuwa mbaya.

Mama akatoka akaenda mahakaman, mahakaman akapewe divorce babu na Bibi wakaja wakaweka pingamizi eti wabaki na mtt kwan ni mlemavu wa akili so mama hataweza kumuhudumia. Kesi mpaka Sasa inaendelea.

Je katika Hali kama hii utasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu huwa wanaubeza " Wokovu" ni kitu cha muhimu sana.

Mungu atusaidie

Mzm lkn dada
 
Natamani ungefunguka japo kidogo hapa

Sent using Jamii Forums mobile app

Anamaanisha kuwa "Mtalaka hatongozwi" kwamba huyu Bibi Ikitokea Siku akakutana na mzazi mwenzie ni rahisi wakakumbushiana kufanya mapenzi [emoji3] na hii siyo Kwa waliozaa tu hata wale ambao hawajazaa Kabla ya kuolewa ilimradi Kama ulimuoa akiwa hana bikra Habari ndo hiyo buyer beware!
 
Hapa ndipo wanawake wengi mnapokosea.mwenye kuweka vigezo vya aina ya mtu wakua naye ni mwanaume maana yeye ndo muoaji,mwanamke wewe kazi yako nikuwindwa kwaiyo unachotakiwa nikujiweka kwenye mazingira bora yakua na sifa zakumfanya mwindaji bora akuone nakukuwinda.Unapoweka vigezo vyako wakat hukidhi haja ya vigezo vya wanaume nakuhakikishia hutakaa umpate uyo unayemtaka.kwanza ayo mambo ya degree ni upuuzi mtupu wewe sema upate mwanaume atakayakupenda kwa dhati ayo mengine mtayaweka uko mbele pamoja.
Hapana nakataa. Why making them slaves of life?

Kwann asiwe na choice? Kwan hawana moyo unaopenda vitu vya taste yao?

Mwanawake ni binadamu anayohaki ya kuchagua anayempenda kwa vigezo vyake.

Sisi wanawake sio nazi useme utaenda sokoni utachagua upendavyo la hasha.

Kabla sijaolewa nilindika vigezo vya mwanaume ninayetaka awe mume wangu. I listed all qualities according to my preferences kisha Kila aliyekuwa anajisogeza nilikuwa namkagua kama anavyo ama laa.

Miaka ile tunaolewa wengine urafiki uchumba haikuwa na kulana tunda kwanza. So niliweza kupata mtu ambaye alikuwa na 90% ya vigezo vyangu knowing kwamba mwenye asilimia mia hatakuwepo. So I was lucky. Leo hii nina 20+ ndoani namshukuru sana Mungu

Hata huyu wapo wanaume watakao mfwata wenye vigezo anavyotaka.
Swala ni kwamba asionane n mtu live bila kumuasses vyema na yy binafsi ahakikishe kwamba makosa yake ya nyuma ameshayasahihisha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Laiti ungemfuatilia posts zake za nyuma nadhani usingesema hayo...mi mshamba wa kuweka link, hii ni post yake huko nyuma...

"Tanya, post: Habari wanajamvi,

Mwenzenu nimekaa kwenye ndoa kwa miaka minne na nina mtoto mmoja lakini kila siku tendo nalifanya sioni reha yoyote.

Siku moja nilijaribu kutoka nje ya ndoa nikapata raha ambayo sijawahi kuipata toka nizaliwe sasa leo tena tumekutana na mume wangu anaingia tu kabla sijaanza kufeel chochote anakuwa ameshamaliza na analala usingizi kabisaaa!!!

Mimi nabaki nahangaika kuhesabu boriti.

Kwa kuwa kumueleza nimeshindwa nimeamua kumtumia sms hii; "
Unakera sana jamaa yangu ,kamakazi inakushinda si uwaachie wenzio kuliko kutesana usiku kucha kulala macho?

We mwanaume gani usiyejua kumridhisha mke wako.

Kwahiyo kila siku utakuwaga learner tu!!! huo ni utahira kama hujui, mimi nimechoka kuachwa njiapanda kila siku na sio mjinga wa kuachwa njiapanda, labda utafute mjinga mwenzio ndo uwe unamuacha njiapanda.

Kazi imekushinda jitoe kwenye game waingie wenye uwezo wao.

Siwezi kuvumilia kero za aina hiyo maana kero ulizonazo zinanitosha sikupaswa niongezewe na kero za kwenye tendo la ndoa.

Mjinga wewe hebu nikatafute wenye uwezo wa kunirishisha wewe umeshashindwa miaka minne yote kapa???"

Je, Niko sahihi kumtumia sms hii?
sijui atabadilika?
Sijui tatizo ni nini?
by mama kado
Mnisaidieni?"
Hizi ndoa hizi Padua kichwa hata Mimi simuwezi
 
Mwaego utapata mtumaini Bwana nae atakupa Kwa majira Yake ! Omba akupe atakaempenda na mwanao Kwa dhati! Halafu endelea kufanya shughuli zako Hilo usiliwekee maanani sana itakuja kutokea tu!
 
Back
Top Bottom