Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,404
Mambo Eddy..SAMAHANI NAOMBA KUJUA BABA YAKO NA MAMA YAKO VIWANGO VYAO VYA ELIMU JE WOTE WANA DEGREE AU WALIPENDANA TU
Ni naomba kumsaidia kidogo hapo kwenye Degree.
IPO hivi kwanza naomba tukubaliane Elimu in M Transform MTU.Anakuwa Na Capability Na knowledge kubwa ya kutathmini Na kuchambua mambo
Angalieni ambao wameishia la 6 B Ni majanga sana.Yeye anawaza kuibiwa mwenzi hata akienda msibani.
Thinking capacity yake mdogo.So walau waliosomasoma hata kufika form Four or Six, Diploma au kuendelea.Ni rahisi Kucope nao.
Angalizo Kuna wachache wasiosoma( Wana Elimu kidogo chini ya tajwa hapo) wana busara sana Na huwezi amini na hata wakifanikiwa huajiri wasomi kuwassidia( Education is the best in the World)but most of them Ni Majanga.
Sent using Jamii Forums mobile app