- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmm Yeye ndo alikuwa sababu ya break up yetu. M innocent girl MTU atakayenioa hawezi kuregret kwa kweli, because I know myself vzr.Single mother mna matatizo mengi sana...watu wakisema humu mnawajia juu!!
Nasema hivi kilichomkimbiza mume wako, lazima kitamtafuna na huyu unayemtafuta saizi!
Ushauri tafuta bodaboda umlee, achana na habari za degree..tushashtuka hatukamatiki kizembe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya mbona haunijibu mtoto mzuri aseeeee[emoji16] [emoji16] [emoji16] mm CURICULLUM NIKO TAYARI TUNAFANYAJE SASA????
Una umri gnHabari za wote humu ndani.
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa Mara ya kwanza nilikutanq na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vzr tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namba ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
safi sana, umekuwa muwazi.Mmmmm Yeye ndo alikuwa sababu ya break up yetu. M innocent girl MTU atakayenioa hawezi kuregret kwa kweli, because I know myself vzr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini usirudi kwa mumeo?
MAMBO! Umeshapata?Habari za wote humu ndani.
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa Mara ya kwanza nilikutanq na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vzr tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namba ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uoga wa kulipa ada mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtt ana umri gani?!
Wat the hell he did?, we need to know itMmmmm Yeye ndo alikuwa sababu ya break up yetu. M innocent girl MTU atakayenioa hawezi kuregret kwa kweli, because I know myself vzr.
Sent using Jamii Forums mobile app