Natamani kuolewa

Natamani kuolewa

kwenye umri punguzapunguza kidogo angalau miaka 16 na kuendelea na elim ukipunguza angalau darasa la saba utanitaarifu sawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo wewe unataka kuolewa na degree au mwanaume?? Mimi nina diploma ila shughuli yangu nmuwekezaji sasa mama ningekuoa maana my wife aliondoka niko single ila wewe unataka degree ngoja wanakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
soon wa degree wakiwa wengi mtaanza kusema mwenye GPA 3.5+ na experience zaid ya miaka mitatu
 
Habari za wote humu ndani.

Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.

Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizurr tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.

Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu njoo nikuoe hapa mara moja , maana me mwenyewe natamani kuoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mateso ya ndani ya ndoa hayavumiliki

Nimeona ndoa zinatesana kwasababu za kishirikina za kutoa makafara tena ya watu.

Dada kaolewa hakuwa anajua ya ndani alipojifungua tu mtt siku ya 7 kaenda Hosp kutolewa nyuzi, mama mkwe akachukua mtt wake machanga wa siku 7 akaenda naye kwake. Dada anarudi hakuti mtt na anamuambia mume mume anasema ni kawaida ya mila zetu. Akahoji mbona hukuniambia akaambiwa utayajua baadae.

Mama akanyanyuka kumfwata mtt huko kwa mkwe. Akakuta mtt analia balaa. Anamuuliza Dada wa kazi mbona Sasa humbebi anasema Bibi hamtaki

Toka siku hiyo mtt akapata ugonjwa akawa mlemavu wa Akali.

Dada akaanza ukisoma namba mara Bibi anakujaga home anaingia hadi bdrum kwake, anatandika kitanda alimradi fujo tuu huku mume yuko pamoja na mama. Kumbe maskini wanatafuta njama za kumtoa mtt kafara. Siku wifi yake akamwambia live.

Ikabidi huyu Dada aondoke na mwanae kwenda kujificha. Ndio baadae babu mtu akatafuta njia akawapata walioko mafichon wakamnyang'anya mama mtt. Mamma akaenda kanisan, babu akatukana kanisa vby sana. Huku Hali ya mtt unazidi kuwa mbaya.

Mama akatoka akaenda mahakaman, mahakaman akapewe divorce babu na Bibi wakaja wakaweka pingamizi eti wabaki na mtt kwan ni mlemavu wa akili so mama hataweza kumuhudumia. Kesi mpaka Sasa inaendelea.

Je katika Hali kama hii utasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi nimeogopa hii mambo ya makafara na takataka zake ni kizungumkuti.
 
mimi nina miaka 34 na nina degree ila sina kazi apo vipi nakufaa?
Habari za wote humu ndani.

Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.

Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizurr tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.

Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vyema nawe ungetubainishia Sifa zako,una elimu gani na una umri gan na hata shughuli zako pia kama hutojali,ili mtu anapofanya maamuzi ya kukufuata ajue anaenda kwa mtu Wa aina ipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vigezo vingine vitakukosesha mume, ungetafuta tu mwenye elimu yake, maisha mazuri na mwenye kumtambua Mungu na mwenye msimamo.
Hivyo vingine ni vya ziada tu.

Jamii Forums mobile app
 
Kuna mateso ya ndani ya ndoa hayavumiliki

Nimeona ndoa zinatesana kwasababu za kishirikina za kutoa makafara tena ya watu.


Je katika Hali kama hii utasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wadau wengi wameomba aeleze japo kidogo tu lakini anajifanya hajasikia, sasa kama hatujajua tatizo lilikuwa wapi tumshauri vipi?
 
Umeweka vigezo na atakayekidhi ni Lipumba tu pekee
 
Pole sana. Unajua ktk maisha ya mapenzi ukitendwa unapata akili ya kujua mema na mabaya.
Ila nikuambie tu. Kigezo cha umri hakimfanyi mtu kuwa na true love. Wengine wameolewa na visengereti boy lkn wanaishi vizuri tu.
Kila la kheri ktk kutafuta
ILA HUWA NAUMIA SANA NIKIONA WATU WAMEACHA HASA WALIOPATA MTOTO/ WATOTO
Mungu akupiganie
amen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom