Haya katika unywaji wako maziwa usijekutana na yatakayokufurahisha ukaweka tena ndani kuwa makini.
Haitatokea nimeshaujuajua unafiki wa wanawake haita tokea yaani atajifanya anakupenda ukifanya makosa ukamweka ndani kwa ndoa umefanya makosa makubwa usione ndoa zipo watu hawatoki kwasababu za kimasilahi fulani hivi kila mtu anajua yeye maslahi yepi lakini ukweli hawana amani kila mtu angependa kuwa huru.