Haya katika unywaji wako maziwa usijekutana na yatakayokufurahisha ukaweka tena ndani kuwa makini.
Hujapata mliependana mkuu, wewe ulimpenda yeye alikuja na maslahi yake. Pole.Haitatokea nimeshaujuajua unafiki wa wanawake haita tokea yaani atajifanya anakupenda ukifanya makosa ukamweka ndani kwa ndoa umefanya makosa makubwa usione ndoa zipo watu hawatoki kwasababu za kimasilahi fulani hivi kila mtu anajua yeye maslahi yepi lakini ukweli hawana amani kila mtu angependa kuwa huru.
Endelea kusubiri na uzee kwa mtoto wa kike huanzia miaka 30........ukija kumpata utueleze ila nakuhakikishia utampata ambaye hata hukutegemea tena atakuwa mmbaya wa sura ila mtaalumu kitandani nawe utamuona mzuri sbb ya mahaba atakayokupaMoyo wangu uko tayari kupenda tena ila kinachonipa mawazo ni wapi nitampata mwanaume nitakaempenda kwa dhati, nina tatizo na kuwaamini wanaume wa Dar ila pia sitaki mapenzi ya mbali sababu yalinipotezea mwanaume niliyempenda kuliko mwanaume mwingine chini ya jua.
Na shida yangu sasa huwa nampenda mtu siku ya kwanza nimemuona ila katika pitapita zangu sijaona mtu wa kumpenda mpaka leo yani wanaonifuata hamna hata mmoja anaenivutia.
hasa ulivyo si ndio na chura wakoSifa ya nini? Chura ipo sema hii ni tatizo sababu hata kama mtu hana mpango na mimi unakuta anakuja kumbe kafuata chura tu. Sitak mwanaume aje kwangu sababu ya chura au uzuri, nataka anipende nilivyo
Mi nasubiria tu mkuu nitalivuka daraja nikilifikia, halafu mpaka nilifall in love kwake ujue kwangu mie ndo handsome wa dunia hata wengine wamuone kama Dr. Remmy. Namsubiri kwa hamu huyo mtu aisee..Endelea kusubiri na uzee kwa mtoto wa kike huanzia miaka 30........ukija kumpata utueleze ila nakuhakikishia utampata ambaye hata hukutegemea tena atakuwa mmbaya wa sura ila mtaalumu kitandani nawe utamuona mzuri sbb ya mahaba atakayokupa
kama ndivyo utampata ila sijui utahakikishaje kuwa hatokutenda ,how will you prove that he will not betray?Mi nasubiria tu mkuu nitalivuka daraja nikilifikia, halafu mpaka nilifall in love kwake ujue kwangu mie ndo handsome wa dunia hata wengine wamuone kama Dr. Remmy. Namsubiri kwa hamu huyo mtu aisee..
Asante. Sasa hivi yupo anaenjoy tu maisha na jamaa wanapendana kama kumbikumbi sasa kanenepa kama mbuyu mimi nimekonda kama mwanajeshi aliyetoka training monduli macho yameingia ndani kama chongo vile...Hujapata mliependana mkuu, wewe ulimpenda yeye alikuja na maslahi yake. Pole.
Akinisaliti basi ndo maisha mkuu. Moyo wa mtu kichaka, naweza jua ananipenda kumbe anataka kitu tu aondoke. Akija ntampokea na akiondoka pia ntamwambia aache mlango wazi wenzie wengine waje.kama ndivyo utampata ila sijui utahakikishaje kuwa hatokutenda ,how will you prove that he will not betray?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] . Ndo mapenz hayo mkuuAsante. Sasa hivi yupo anaenjoy tu maisha na jamaa wanapendana kama kumbikumbi sasa kanenepa kama mbuyu mimi nimekonda kama mwanajeshi aliyetoka training monduli macho yameingia ndani kama chongo vile...
wewe huogopi? bado unahamu ukotayari kukonda kama mpiganaji wa monduli?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] . Ndo mapenz hayo mkuu
unaroho ngumu kuliko almasi...Mkuu mapenzi kaumbiwa mwanadamu siyakatii tamaa .
ila huyu binti kama profile yake inavyosomeka ndivyo yuko hivyo na anadai ana chra daah yuko vzr ila hawa wengi wao ni single mothers,sijui huyuMkuu mapenzi kaumbiwa mwanadamu siyakatii tamaa .
ningekuwa sijajeruhiwa ningeshawishika kukuchukua ila iswezi kuthubutu hata kidogo...Napenda sana mapenzi basi tu simpati huyo wa kupendana nae
Dada.Usipojali.Lets keep in touch.NamaanishaMi nasubiria tu mkuu nitalivuka daraja nikilifikia, halafu mpaka nilifall in love kwake ujue kwangu mie ndo handsome wa dunia hata wengine wamuone kama Dr. Remmy. Namsubiri kwa hamu huyo mtu aisee..