Sio lazima iwe hivyo always, haujawahi ona mwanaume/mwanamke anaweza kukuacha kwa kukuona haufai alafu akajirudi kwa magoti baada ya kugundua yo the best!!unajua kama una kitu special kwa mwanaume anayetaka mtu wa kuishi nae hawezi kukuacha kirahisi haijarishi ni umbali kiasi gani,lakini tofauti na hapo tutakula bata tu ila atakuwa anakuchora tu akitaka kuoa lazima ule kibuti cha kimyakimya
Mamii wewe bado haujawa tayari kupenda, jipe muda kwanza. Inaelekea bado una majeraha ya mahusiano yako yalopita. Usijilazimishe, haya mambo huwa yanatokea tu.Kwangu mimi kuna tabia naona hazivumiliki kama ugomvi (kupigana au kugombana hadharani), wizi, uchafu, uvivu, ulevi uliopindukia, umalaya, etc. Ila hasira ninazo lakini nikikasirika siongei kabisa nalia tu. Sasa kwa hizo tabia hapo juu na sinazo ndo maana naona nyingine zinavumilika
kila binadamu ana mapungufu yake hilo halipingiki lakini uvumilivu wa mtu na mtu ni tofauti,mfano unaweza kuwa unakunywa pombe mwingine akaona ni sawa tu na akaweza kuvumila lakini kwa mwingine hilo ni kosa ambalo halivumiliki,wanawake wengi kizazi hiki cha karne ya 21 wengi wenu hamjuii nini maana ya mahusiano lbda kama kula bata tu,ubabe mbele kwa mbele,kabla ujalaumu au kusononeka jiangalie mwenyewe kwanza waweza uliza hata watu waliokaribu yako watakwambia mapungufu yako kama wewe ni mtu wa kujichanganya ,lakini kama ndio wale wabinafsi nakijisikia sahauTatizo nililo nalo ni kwamba wanaume wananiogopa, waliobahatika kukaa na mimi wanasemaga niko tofauti na ninavyoonekana yani naonekana mwanamke fulani matawi napenda pesa ila siko hivyo. Labda nina tabia mbaya kweli zisizovumilika lakini hamna mtu aliewahi niambia kwamba nina tabia hii na hii ndo maana wanashindwa kukaa na mimi. Mapungufu ya kibinadamu lazima ninayo ila sio ya kumkimbiza mwanaume kwamba ameshindwa kuvumilia.
Sijawahi ziona bwana.. huwa najibu pm kwa moyo mmoja
Kila mtu ana kitu special kwa mtu alie tayari kukipata hicho kitu. lakini unaweza ukawa na kila kitu mtu anakitaka ila akawa na sababu nyingine zitakazokatisha mahusiano yenu mfano kabila, dini etc..unajua kama una kitu special kwa mwanaume anayetaka mtu wa kuishi nae hawezi kukuacha kirahisi haijarishi ni umbali kiasi gani,lakini tofauti na hapo tutakula bata tu ila atakuwa anakuchora tu akitaka kuoa lazima ule kibuti cha kimyakimya
Nitatokea ila endelea kunisubiri nitakuja ila si keshoAsante mpenzi.. natamani atokee hata kesho
Hilo nalo ni tatizo, hata ex wangu alikuwa nalo.Mimi basi sijajua napendaga nini.
Ndo maana nilikuuliza umri,Sinaga vigezo hata. Mwanzoni nilikua najua napenda wanaume weusi wanaofuga nywele ila nilikuja kufall in love na mwanaume mweupe na ananyoa. So yes sina choice yeyote nitakaempenda nimempenda moyo ti uridhie.
Mimi napenda na siamini sana kwenye kujifunza kumpenda mtu ndiyo sababu hata mtu awe smart vipi, awe na hela awe handsome kama moyo haujaridhia siwezi kuwa nae. Ningekua nina vigezo na naweza kupenda haraka ningekua nishapata muda tu..Hakuna binadamu asiechagua. Usingekuwa unachagua usingrfungua huu uzi ungebeba yoyote alieanza kukutokea.
watu huumizwa na mapenzi tena kwa kiwango kikubwa lakini sio mwisho wa maisha ,lazima maisha yaendelee fungua moyo wako ukubali mapungufu ya mwenzako,huwezi kukosa mtu wa kukupendaTatizo simuoni wa kumpenda..
Niunganishie huyu sista, maana douta wake simsomi kabisa nowadays [emoji4] [emoji4]Hata mimi sijui kwanini haupendi.
Ex bf wangu ambae ilibidi tuachane kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu ananilalamikia kila siku kuwa anajuta kwa uamuzi aliochukua anatamani yasingetokea yaliyotokea huwa namwambia tu ni maamuzi aliyochukua ayaishi mimi sipo tena. Ningekua sikua mwema asingepoteza muda na mimi. Kuna vitu haviepukiki hata kama uwe na tabia kama malaika vikitokea vimetokea.Sio lazima iwe hivyo always, haujawahi ona mwanaume/mwanamke anaweza kukuacha kwa kukuona haufai alafu akajirudi kwa magoti baada ya kugundua yo the best!!
Sio kwamba kwa kuwa kwenu wanaume basi mmekamilika 100%,lasivyo kusingekuwa na matatizo ktk ndoa maana mngekuwa mnachagua the best.
Akikuelewa nistue mkuuWanaokufuata hawajakuvutia, balaa ni pale watakaokuvutia hawakupendi wala hawavutiwi na wewe.