Natamani kupenda tena

Natamani kupenda tena

Nimesema tu kwa uzuri dada,
Kwamba,yawezekana halipi kipaumbele jambo la mtoto kabla ya kuanza mahusiano,
Na ili asalimike,ajaribu watu wazima,vijana wengi wanaogopa mikosi.
Kuwa singo mom ni mkosi kumbe? basi labda ndo maana napata wanaonipenda ila sipati ninaowapenda..nimekuelewa
 
Dada kabla hujaanza kufanya uamuzi huu kwanza jiandae kisaikolojia kwanza ...hakuna jambo zito na ambalo inastahili kutumia akili nyingi kama kunzisha mahusiano ya kimapenzi pia hakuna jambo linaloweza kukunyima raha kama hilo ...ukizingatia wewe ni mtani wangu dah nawajua kwa wivu
 
Nimesema tu kwa uzuri dada,
Kwamba,yawezekana halipi kipaumbele jambo la mtoto kabla ya kuanza mahusiano,
Na ili asalimike,ajaribu watu wazima,vijana wengi wanaogopa mikosi.
Ooooh! Hapo sawa.
Na unajua ukishakuwa na mtoto hujiwazii wewe tu, unakuwa unatafuta mtu atakaefit kwenye maisha ya mwanao pia.
 
Na hiyo mbinu unaitumia kwa wale ambao hawakuvutii, we subiri akitokea unaemridhia mbinu zote zinayeyuka.
Unatamani kupenda ila bado haujawa tayari kupenda. Ninakuelewa mama.
Na kweli.. mi nikimpata ninaempenda mbona nalegeza kila kitu.
 
wakati mwingine ukipretend sana tabia fulani bila kujua inaweza kuwa ndio tabia yako,mwanamke ni pambo,hata mimi umekunja sura nitafikiri mara mbili,kuwa mchangamfu sio kwamba utazoeleka ila jijengee mazingira ya mwanaume akuheshimu kuliko kutumia hiyo njia yako,wengine huwa ni waelewa tu,ntachukua namba ntakutongoza,ukinikataa ya kwanza na ya pili tena nakubali matokeo
Kutongozana tena?? mimi ukiniomba namba nakupa yani hata kama sikutaki, hata utongoze vipi chief sikutaki sikutaki ndo maana hata nikuwekea uso wa mbuzi ukikata tamaa sina ninachopoteza naona sawa tu. Ila nikukupenda mimi utafurahi, utashangaa yule mwanamke anaeonekana sio rahisi kumtongoza mbona si huyu.
 
Kuwa singo mom ni mkosi kumbe? basi labda ndo maana napata wanaonipenda ila sipati ninaowapenda..nimekuelewa
Mmmh,sina maana iyo,
Inahitajika akili pevu haswaa ya mwanaume kumtambulisha singo mom,labda kama naye ni singo father.
 
Dada kabla hujaanza kufanya uamuzi huu kwanza jiandae kisaikolojia kwanza ...hakuna jambo zito na ambalo inastahili kutumia akili nyingi kama kunzisha mahusiano ya kimapenzi pia hakuna jambo linaloweza kukunyima raha kama hilo ...ukizingatia wewe ni mtani wangu dah nawajua kwa wivu
Hahahaahaa... niko tayari mkuu ila tatizo wa kumpenda ndo simuoni.
 
Sifa ya nini? Chura ipo sema hii ni tatizo sababu hata kama mtu hana mpango na mimi unakuta anakuja kumbe kafuata chura tu. Sitak mwanaume aje kwangu sababu ya chura au uzuri, nataka anipende nilivyo
Kukupnda ulivyo si ndo hvo yaan kakupnd una chura
 
Kutongozana tena?? mimi ukiniomba namba nakupa yani hata kama sikutaki, hata utongoze vipi chief sikutaki sikutaki ndo maana hata nikuwekea uso wa mbuzi ukikata tamaa sina ninachopoteza naona sawa tu. Ila nikukupenda mimi utafurahi, utashangaa yule mwanamke anaeonekana sio rahisi kumtongoza mbona si huyu.
basi lazima ukubali kila mtu anachaguo lake ,labda hujapata wakumpenda
 
Ooooh! Hapo sawa.
Na unajua ukishakuwa na mtoto hujiwazii wewe tu, unakuwa unatafuta mtu atakaefit kwenye maisha ya mwanao pia.
Yes yes. hili ni jambo lingine, japo nilishapanga nikimpata mtu hatakutana na mwanangu kirahisi.
 
Mmmh,sina maana iyo,
Inahitajika akili pevu haswaa ya mwanaume kumtambulisha singo mom,labda kama naye ni singo father.
Ni mapenz tu mkuu yakiwepo wala hakihutajiki nguvu hizo.
 
Back
Top Bottom