Natamani kupenda tena

Natamani kupenda tena

Nisipovutiwa na Mimi wako wawekezaji wengine humu ndani waweza vutiwa. Sikutaka picha kwa ajili yangu tu. Ila ni kwa wana JamiiForum kwa umoja.
Hahahahahaaa... nimependa umoja wenu mkuu.. ngoja nikuwekee japo nusu
 
Hahahahahaaa... nimependa umoja wenu mkuu.. ngoja nikuwekee japo nusu
4aac3d88df3dd182d8628e6af9d61e67.jpg
Mwenye lips paanaaaa na akicheka ana......

Je unao mwanyaaa????
 
Kusema kweli umenigusa sana Mzigua90. Hata mimi nina uhitaji kama wako lkn Mchungaji alinisisitiza nisitumie nguvu kubwa kumpata mwenza wngu wa maisha. Nipo Mwanza, napitia kipindi kigum sana. Naona wanawake wengi wazuri lkn siwapendi. Navuta subira, naww vuta subira. There's right time, right place and right reason ya kumpata mwenza wako. Hata mimi niliwahi kuapa kutopenda tena mwanamke wa dar au wa mbali namim!

Keep your prayer to God!
jino kwa jino

mnafaa muoane
 
Miracle loading...soon mzigua atanipenda na nishaandaa picha kabisa za kumtumia hapa nipo kwenye photo shop[emoji3] [emoji3]
Eeeh mungu endelea kubariki miujiza hii ipate kutimia/kutendeka..!
Hahahahahaa
 
Kusema kweli umenigusa sana Mzigua90. Hata mimi nina uhitaji kama wako lkn Mchungaji alinisisitiza nisitumie nguvu kubwa kumpata mwenza wngu wa maisha. Nipo Mwanza, napitia kipindi kigum sana. Naona wanawake wengi wazuri lkn siwapendi. Navuta subira, naww vuta subira. There's right time, right place and right reason ya kumpata mwenza wako. Hata mimi niliwahi kuapa kutopenda tena mwanamke wa dar au wa mbali namim!

Keep your prayer to God!
Nashukuru
 
Kama umejipa kazi ya Mungu hivi!! Lazima aumie hiyo vipi!! Kwani ni dhambi kumpata mtu mwenye sifa unazozitaka hadi umuwekee guarantee ya kuumia?!!!!!!!

How if huyo mwenye sifa anazozitaka ndio match yake maana nae huyu ndio mwenye sifa azitakazo?
ndo mana nikasema akikaa asubiri mpaka aje mtu atakaekua na sifa zote anazozitaka ni upotevu wa muda maana huwezi mjua mtu mpaka uwe nae

hasa kwenye swala la mahusiano huwezi jua sifa za mpenzi bora mpaka uwe nae

kuhusu swala la kuumia hilo hua lipo maana kila apendae ana wivu juu ya mwenza wake

unaweza ukaumia bila hata ya kuachana
 
Usiseme hivyo mkuu unanikatisha tamaa...
hapana mkuu sikukatishi tamaa sema unapokua unatafuta mtu mwenye sifa unazozitaka ni lazima umjue kiundani maana hujaweka vigezo

labda unapenda mwanaume atakaekufurahisha so utamjuaje kama hujaanza nae mahusiano
 
Back
Top Bottom