Natamani kuwa na mwisho mwema kama Babu wa Loliondo

Kwamba tiba zetu ziliponya watu kwa imani waliyokua nayo. Si ndivyo unamaanisha hapa
Kwenye uponyaji kuna mambo mawili imani na tiba sahihi..! Imani huharakisha uponyaji.. State of mind..na I man I Ina vipengele vitatu
Imani juu ya dawa
Imani juu ya mtoa dawa/tabibu
Imani juu ya mazingira
Mwili una asilimia za natural healing, dawa husaidia tu huo mchakato wa uponyaji...
Na kwenye magonjwa na tiba, si kila ugonjwa ni wa kunywa dawa, mengine ni mind stated..!
Na si kila dawa iwe ya asili ama ya kizungu itatibu ugonjwa husika kwa mafanikio tarajiwa.. State of mind na Bali ya mwili ya huchangia sana kwenye uponyaji negatively or positively
IMANI ndio msingi wa kitu chochote...!
 
Sema sijui kwa Mungu nako nitachomoa au atanitaiti, ndo sijui.[emoji3064][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Inasemekana aliamini ataitibia delta akapiga panda, imani ikakatiza uhai wake.

Ufu 14:13

Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.
 
Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.[emoji1547][emoji1533][emoji1545]
 
Wengine walipona kwa imani na huo ndio muktadha wa kikombe...na illikuwa ni lazima ujushushe.. Ukienda pale na ukuu na sifa zako kikombe lazima kikukalishe.. Ama ukatumia ujanja ujanja hila na ubabe kufika mbele ya babu kikombe kiligeuka mma tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa umenipa burudani hapa! Kweli huduma ya kiimani ni kuamini huku ukijishusha na kunyenyekea pasipo hata chembe ya unafiki.

Umenikumbusha enzi hizo shuleni tulivyokuwa tunapita kibabe hadi mbele ya mgawa uji /msosi. Akizubaa tunajichotea wenyewe.
 
Kwahiyo wewe ni wa rohoni, na umeliona lile tukio kuwa la shetani. ...itakuwa siku za mwisho, nitawamwagia watu wote roho wangu.
 
Hahahaha Ila siku akikulia timing akakupata umekwishaa[emoji3][emoji3][emoji3]
 

Mungu atamuona na kumlipa kwa UTAPELI wa kutuaminisha KIKOMBE FEKI CHA DAWA.
wengi ndugu na jamaa wakapoteza MAISHA
Baadae Kikombe kikachukuliwa na SHETANI alie kianzisha kikaingia GIZANI mpaka leo. Baada ya mavuno waliokusudia kuvuna kupitia matatizo na dhiki za wagonjwa wa UKIMWI NA KISUKRI.
 
Basi Yesu akawaambia asiye na mawaa awe wa kwanza kurusha jiwe...
 
Eneo niishilo walitoka mamia ya watu wakaenda kunywa kikombe. Hadi leo ni wazima. Kuna ndugu yangu wa karibu sana alikua na kifafa kila mwezi anaanguka. Baada ya kikombe anWezamaliza mwaka/miaka bila hata dalili. Ila akinywa kilevi tu imo
 
Kwahiyo wewe ni wa rohoni, na umeliona lile tukio kuwa la shetani. ...itakuwa siku za mwisho, nitawamwagia watu wote roho wangu.
Hakika ndugu, kama ulivyosema, Ni kweli na uko sahihi, ... mimi ni wa rohoni na ndiyo maana mambo ya Kikombe cha Babu tulioneshwa na Roho wa Mungu mapemaa na hatukunyamaza kimya bali tuliwaonya watu kukiepuka.
 
Unadhani alikuwa na mwisho mwema wakati ametapeli na kuumiza wengi kwa uchoyo wake?
 
Hivi leo hii unaweza kusifia tena hichi ulichoandika?

Watu wametapeliwa,wamekufa pia wamepoteza vingi vyao


Kikombe kinatibu eee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…