Natamani kuwa tajiri wa mapesa; Nifanyaje?

Natamani kuwa tajiri wa mapesa; Nifanyaje?

Umri unaenda, majukumu ni mengi yakuhudumia familia, sioni mlango wa pesa nyingi zikija kwangu. Nimejitahidi kwa miaka mingi niwe na mapesa mengi hata niwa said ie wasio nazo, nimeambulia patupu. Niwe na pesa si kwa shida na mahitaji yangu tu, natka kusaidia jamii ya wasiojiweza,mayatima na wasio na uwezo katika shida zao. Pia natamni nikizipata hizo pesa nizigawe kwa kujenga makanisa ili watu wamwabudu Mungu, pia nitakuwa mfadhiri mkuu wa kazi ya Mungu na shughuri zote zakidini. Nataka mapesa jamani nifanyeje ni pate mapesa. Ila kuiba au kufanya kazi halamu sitaki, ila natka mapesa. Nisaidieni
Pesa unazitamani ila kuoga aaaaah.
 
Umri unaenda, majukumu ni mengi yakuhudumia familia, sioni mlango wa pesa nyingi zikija kwangu. Nimejitahidi kwa miaka mingi niwe na mapesa mengi hata niwa said ie wasio nazo, nimeambulia patupu. Niwe na pesa si kwa shida na mahitaji yangu tu, natka kusaidia jamii ya wasiojiweza,mayatima na wasio na uwezo katika shida zao. Pia natamni nikizipata hizo pesa nizigawe kwa kujenga makanisa ili watu wamwabudu Mungu, pia nitakuwa mfadhiri mkuu wa kazi ya Mungu na shughuri zote zakidini. Nataka mapesa jamani nifanyeje ni pate mapesa. Ila kuiba au kufanya kazi halamu sitaki, ila natka mapesa. Nisaidieni
Siku hizi usisubiri upate pesa ndio ujenge makanisa na kufanya hizo kazi za Mungu. Fungua kanisa pesa utazikuta hukohuko manyummbu bado ni wengi, utazipakia hadi kwenye magunia, na utagawa hadi magari kama yule geodavie
 
Ungeanza kuwasaidia hao yatima sasahivi wakati huna hela mingi utakuwa umetoa kwa ukubwa,kuliko ungoje uwe na kibunda kirefu.
 
Umri unaenda, majukumu ni mengi yakuhudumia familia, sioni mlango wa pesa nyingi zikija kwangu. Nimejitahidi kwa miaka mingi niwe na mapesa mengi hata niwa said ie wasio nazo, nimeambulia patupu. Niwe na pesa si kwa shida na mahitaji yangu tu, natka kusaidia jamii ya wasiojiweza,mayatima na wasio na uwezo katika shida zao. Pia natamni nikizipata hizo pesa nizigawe kwa kujenga makanisa ili watu wamwabudu Mungu, pia nitakuwa mfadhiri mkuu wa kazi ya Mungu na shughuri zote zakidini. Nataka mapesa jamani nifanyeje ni pate mapesa. Ila kuiba au kufanya kazi halamu sitaki, ila natka mapesa. Nisaidieni
Mkuu uwombaji wako labda ndio tatizo lako, wewe waomba upate pesa yakuwasaidia yatima na wasio jiweza, kwamba watu wafiwe na wazazi wao ili wewe uwende ukawasaidie....

Watu washindwe kuhudumia familia zao wewe uwende ukawasaidie..

Omba amani ya upendo, hayo mengine yata flow naturally
 
Back
Top Bottom