wakunyonya
JF-Expert Member
- Feb 5, 2024
- 520
- 1,414
Mpka hapo ushakosa mapesaIla kuiba au kufanya kazi halamu sitaki, ila natka mapesa. Nisaidieni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpka hapo ushakosa mapesaIla kuiba au kufanya kazi halamu sitaki, ila natka mapesa. Nisaidieni
Pesa unazitamani ila kuoga aaaaah.Umri unaenda, majukumu ni mengi yakuhudumia familia, sioni mlango wa pesa nyingi zikija kwangu. Nimejitahidi kwa miaka mingi niwe na mapesa mengi hata niwa said ie wasio nazo, nimeambulia patupu. Niwe na pesa si kwa shida na mahitaji yangu tu, natka kusaidia jamii ya wasiojiweza,mayatima na wasio na uwezo katika shida zao. Pia natamni nikizipata hizo pesa nizigawe kwa kujenga makanisa ili watu wamwabudu Mungu, pia nitakuwa mfadhiri mkuu wa kazi ya Mungu na shughuri zote zakidini. Nataka mapesa jamani nifanyeje ni pate mapesa. Ila kuiba au kufanya kazi halamu sitaki, ila natka mapesa. Nisaidieni
Halafu unataka uwe tajiri?Tumbaku hapana naogopa dhambi
Siku hizi usisubiri upate pesa ndio ujenge makanisa na kufanya hizo kazi za Mungu. Fungua kanisa pesa utazikuta hukohuko manyummbu bado ni wengi, utazipakia hadi kwenye magunia, na utagawa hadi magari kama yule geodavieUmri unaenda, majukumu ni mengi yakuhudumia familia, sioni mlango wa pesa nyingi zikija kwangu. Nimejitahidi kwa miaka mingi niwe na mapesa mengi hata niwa said ie wasio nazo, nimeambulia patupu. Niwe na pesa si kwa shida na mahitaji yangu tu, natka kusaidia jamii ya wasiojiweza,mayatima na wasio na uwezo katika shida zao. Pia natamni nikizipata hizo pesa nizigawe kwa kujenga makanisa ili watu wamwabudu Mungu, pia nitakuwa mfadhiri mkuu wa kazi ya Mungu na shughuri zote zakidini. Nataka mapesa jamani nifanyeje ni pate mapesa. Ila kuiba au kufanya kazi halamu sitaki, ila natka mapesa. Nisaidieni
Vipi mkuu unataka kunyonya matiti ya kiume🤣🤣🤣Una_kifua??
Mkuu uwombaji wako labda ndio tatizo lako, wewe waomba upate pesa yakuwasaidia yatima na wasio jiweza, kwamba watu wafiwe na wazazi wao ili wewe uwende ukawasaidie....Umri unaenda, majukumu ni mengi yakuhudumia familia, sioni mlango wa pesa nyingi zikija kwangu. Nimejitahidi kwa miaka mingi niwe na mapesa mengi hata niwa said ie wasio nazo, nimeambulia patupu. Niwe na pesa si kwa shida na mahitaji yangu tu, natka kusaidia jamii ya wasiojiweza,mayatima na wasio na uwezo katika shida zao. Pia natamni nikizipata hizo pesa nizigawe kwa kujenga makanisa ili watu wamwabudu Mungu, pia nitakuwa mfadhiri mkuu wa kazi ya Mungu na shughuri zote zakidini. Nataka mapesa jamani nifanyeje ni pate mapesa. Ila kuiba au kufanya kazi halamu sitaki, ila natka mapesa. Nisaidieni
Ameuliza kifua unacho hivi ana maana kifua kimejaa matiti au kifua cha kupambana na mazito.Kivipi fafanua kidogo