version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 841
- 2,004
I knew it this question will followUna_kifua??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I knew it this question will followUna_kifua??
Za kuambiwa achanganye nazake lo
Onana na wabunge au mawaziri toka jimboni mwako, hakuna watu washirikina hapa duniani zaidi ya hawa na pia mashehe na wachungaji. usiache kushirikiana nao.Umri unaenda, majukumu ni mengi yakuhudumia familia, sioni mlango wa pesa nyingi zikija kwangu. Nimejitahidi kwa miaka mingi niwe na mapesa mengi hata niwa said ie wasio nazo, nimeambulia patupu. Niwe na pesa si kwa shida na mahitaji yangu tu, natka kusaidia jamii ya wasiojiweza,mayatima na wasio na uwezo katika shida zao. Pia natamni nikizipata hizo pesa nizigawe kwa kujenga makanisa ili watu wamwabudu Mungu, pia nitakuwa mfadhiri mkuu wa kazi ya Mungu na shughuri zote zakidini. Nataka mapesa jamani nifanyeje ni pate mapesa. Ila kuiba au kufanya kazi halamu sitaki, ila natka mapesa. Nisaidieni
Hovyo, umeonana nao?Ushauli mwingine ovyo