natamani mume wangu anywe pombe

natamani mume wangu anywe pombe

amina na iwe hivyo. MUNGU akupe sawasawa na ulichoandika
 
Du mie ni mnywaji ila wife wangu hataki kabisa ninywe anapenda kila muda niwe nyumbani.
 
ntaolewa ndio na wa sifa hizo ndo nizitakazo

Kila mtu hupewa kile aombacho,issue ni kwamba ni nani atakupa ulichoomba.Ukipewa na shetani mara nyingi huwa ni kazi kwelikweli,Na Mungu hawezi kukupa wanaopenda kurudi usiku.Tafakari upya sala yako.
 
a) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie nitakufa
(c) sipendi mwanaume anayewahi nyumbani kumenya vitunguu swaumu,kukuna nazi nakutwanga tangawizi na kunipigisha maumbea ya mtaa,bora akae mtaani huko na wanaume wenzie apate maujanja yamaisha

(d)asiwe mlokole wa kiviile awe tu mcha mungu ,mlokole anaweza kukuambia nimeoteshwa maono waifu tufunge siku saba pia ninashuhudiwa moyoni nimuoe mwanakwaya fulani
By the way sijui wkend hii nitoke vipi
Ngoja niwasiliane na mchungaji wangu kama kuna sehemuya kutoa huduma ya maombi leo,maana shetani amewafunga watu nataka nikawafungue wawe huru .amina
i love u members

bora umesema mpema
 
usimbe njaa wakat huna hel mfukon,na muda huo kariakoo,
na kwako kawe.
 
usimbe njaa wakat huna hel mfukon,na muda huo kariakoo,
na kwako kawe.

Tatizo hujui rules za Kariakoo, Kariakoo unaingia restaurant yeyote unawaambia una njaa, utakula utakunywa ukipendacho bila kubughudhiwa, mradi uwaambie tu kuwa umeishiwa kabla hujala. Hiyo ndio rule namba 1 ya Restaurant za Kariakoo, hanyimwi mtu chakula.

By the way, siku nyingine ukishikwa na njaa, tazama watu wenye vibaraghashia na wenye hijab wengi wao hao huwa ni Waislaam, na kwa imani yao, ni marufuku kumnyima mtu chakula hata kikiwa ni chako cha mwisho basi mta share lakini ni mwiko kumwacha mtu mwenye njaa na njaa. Ndio maana hata Kikwete ilipotokea tatizo la njaa mwaka 2006 alitangaza hafi mtu na njaa, nna uhakika alikuwa anaamini kilichopo tutagawana wote na kitatutosha, na kweli ikawa hivyo.
 
we sasa unataka kuliwa 'tigo'. sifa zote unazozitaka ni za wale wanaopenda kula tigo, shauri yako
 
kumbe tunaorudi home mapema tunawaboa wake zetu? My GOd I Never new this before. Me niko free sana kwa My wife, we share and participate in each and everthing, kuanzia kupika, kufua nguo, kuosha vyomboo na kazi zote ambazo zinafanyika ndani ya nyumba. Pengine bado mapenzi hayajachuja, but this is the 4th year of our marriage na nihahisi each passing day yale ambayo tunayfanya pamoja yanaongeza upendo btn us twice. Mh..!! binadamu sisi? Nina rafiki yangu mmoja analewa sana. pengine huyo angelikufaa sana.
 
Kila mtu hupewa kile aombacho,issue ni kwamba ni nani atakupa ulichoomba.Ukipewa na shetani mara nyingi huwa ni kazi kwelikweli,Na Mungu hawezi kukupa wanaopenda kurudi usiku.Tafakari upya sala yako.

Anataka Mungu amfanyie fair! Huyo hajajua madhara ya mwanaume 'kunywa kidogo' na kukaa na 'wenzake mpaka saa nne'!
 
kumbe tunaorudi home mapema tunawaboa wake zetu? My GOd I Never new this before. Me niko free sana kwa My wife, we share and participate in each and everthing, kuanzia kupika, kufua nguo, kuosha vyomboo na kazi zote ambazo zinafanyika ndani ya nyumba. Pengine bado mapenzi hayajachuja, but this is the 4th year of our marriage na nihahisi each passing day yale ambayo tunayfanya pamoja yanaongeza upendo btn us twice. Mh..!! binadamu sisi? Nina rafiki yangu mmoja analewa sana. pengine huyo angelikufaa sana.

Hawachelewi kukupinga hapa! Utaskia haipaswi mwanaume kuwa hivyo! I think every marriage has its own principles, I second yours!
 
hzo mbwembwe2...!!!!
A%20S%2013.gif
 
kuchelewa kurudi home kila siku siwezi...ila kuepuka kukupigia umbeya ntakuwa nashinda na housegirl chumbani kwake mpaka midaa hiyo
 
Ulevi wa misifa huu. Kama huna cha kupost wandugu si ukae kimya! Kwani kuna ulazima wa kupost thread ambazo hazina kichwa wala miguu?


Samahani, ni mtazamo

tu.

Kwanini na wewe usikae kimya, usijibu thread husika. Ni mtazamo tu.
 
Bora umestukia! Ni tangazo la kuvutia wachumba. Ukishaoa tu sheria zinakubadilikia!
Haya, wanywaji changamkieni hapo ila mhakikishe mnasign MoU mbele ya advocate,lol
hzo mbwembwe2...!!!!
A%20S%2013.gif
 
Back
Top Bottom