Natamani mwanamke mweupe baada ya kuoa mwanamke mweusi

Natamani mwanamke mweupe baada ya kuoa mwanamke mweusi

Ilambo

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
475
Reaction score
89
Habar wana JF,

Mimi mwanzon kigezo cha rangi hakikuwa kipaumbele, lakini baada ya kuoa black sasa ndo mawazo yamekuwa tofauti.

Kila nikiona mwanamke mweupe au maji ya kunde namtaman sana, i wish mke wangu angekuwa vile bt unchangable.

Naomba ushauri, matusi hayasaidii, kwasababu nimejaribu kijizuia nimeshindwa kabisa, kitu white kinanidatisha.
 
Akijichubua je utampenda ?
 
.mwananangu akijichubua c inakiwa ya kichina hyo,kila cku sasa atumie madawa,kitu natural,
 
Duh...ulioa kwa majalibio? Baki njia kuu..
Ukishindwa mwambie mkeo ajichubue na kama anajitambua jiandae kukwepa Mvua ya maneno
 
Kipaumbele hailiwa rangi,ilikuwa sura,mzigo nyuma kiasi na tabia, vyote vimetimia,
 
Acha uoga wewe carolite zimejaa kibao, mimi nilijua unataka awe mweusi ningeshindwa kukusaidia
 
Mkuu nitumie contact za mkeo nimuunganishe na huyu "former black" mwenzie.
coz huyu rangi ya chungwa ana dawa itayomsaidia mkeo afikie viwango unavyovitaka wa mtoto white.
Ila kumbuka kuwa ;
attachment.php

attachment.php
 
Back
Top Bottom