Natamani mwanamke mweupe baada ya kuoa mwanamke mweusi

Natamani mwanamke mweupe baada ya kuoa mwanamke mweusi

Maisha bwana ..kina mwingine ana mweupe peeee....lkn anataka mweusi sasa....
 
Na mke anataka kitu white,bahati mbaya wewe mweusi.Hapo sasa mkubaliane kuachana.Ili mchukue vitu vipya,vitu white.Aaaaah.
 
Mmmh hii ni source ya akina dada kijichubua!
 
Mnunulie mkorogo kisha mpake wote (wewe na yeye) mwili mzima ili kudumisha ndoa yenu.
 
Habar wana jf,mimi mwanzon kigezo cja rangi hakikuwa kipaumbele,lkn baada y kuoa black sasa ndo mawazo yamekuwa tofaut,kila nikiona dem mweupe au maji ya kunde namtaman sana i wish mke wangu angekuwa vile bt unchangable,naomba ushaur matus hayasaidii,coz nimejaribu kijizuia nimeshindwa kabisa...,kitu white kinanidatisha.

huna mke.wew ungekuwa naye usingewaza usenge na ujinga huu ungekuwa unawaza hela tuu na kumpendezesha mke wako..hiv mtafunguwa shule lini ili ujinga upunguwe humu
 
Ni dalili za kumchoka. Usingeoa mapema kama ni hivyo.
 
Mpe taraka, ukaoe hyo mweupe... Lkn kumbuka kuna ukimwi
 
Kweli dunia haiko sawa kabisa wangu nilimuoa mweusi leo kajigeuza kawa mweupe nataman kumpa talaka lkn nashindwa
 
Habar wana JF,

Mimi mwanzon kigezo cha rangi hakikuwa kipaumbele, lakini baada ya kuoa black sasa ndo mawazo yamekuwa tofauti.

Kila nikiona mwanamke mweupe au maji ya kunde namtaman sana, i wish mke wangu angekuwa vile bt unchangable.

Naomba ushauri, matusi hayasaidii, kwasababu nimejaribu kijizuia nimeshindwa kabisa, kitu white kinanidatisha.

ni kama mkeo anavyodatishwa na njemba zilizo na sifa ambazo wewe hauna! ni maisha...so songeni mbele tu, mkitumia ngao ya uvumilivu!
 
Unatafta tu kisingizio cha kuchepuka ulivomuoa hukujua. Rangi yake acha mawazo ya uzinifu
 
habar wana jf,

mimi mwanzon kigezo cha rangi hakikuwa kipaumbele, lakini baada ya kuoa black sasa ndo mawazo yamekuwa tofauti.

Kila nikiona mwanamke mweupe au maji ya kunde namtaman sana, i wish mke wangu angekuwa vile bt unchangable.

Naomba ushauri, matusi hayasaidii, kwasababu nimejaribu kijizuia nimeshindwa kabisa, kitu white kinanidatisha.

ndyo maana uislamu ukaruhusu wake wanne nashangaa baada ya hli kywachukza wanawake lakin wanachukia wanaume ambao allah kafahamu udhaifu wao.ukiwa na wanne unachangwnya mnene,figure,mweupe na mweus kamq hutoshek hapo bc vumilia ukapate tn pepon..oa mwngne.
 
Back
Top Bottom