Natamani mwanamke mweupe baada ya kuoa mwanamke mweusi


Uzinzi ni tabia ya mtu tu kuna MTU ana wake wa NNE still anachepuka kwingine.
 
Upo sawa my dear.
Na pia tabia inaenda na asili ya ukoo.
Kuna koo nyengine kuoa na kuacha ndo asili yao.
Akiwa Mwanamke ndo kabisa.

Hawajui tu kua uzinzi, michepuko ni roho zinazowatesa wengi mwishowe wana date na kila aina ya wanawake na still hawapati satistifaction yoyote zaidi ya kujitaftia maradhi na kuondoka duniani kabla ya siku zao.
 
Hawajui tu kua uzinzi, michepuko ni roho zinazowatesa wengi mwishowe wana date na kila aina ya wanawake na still hawapati satistifaction yoyote zaidi ya kujitaftia maradhi na kuondoka duniani kabla ya siku zao.

Ndo hivo tena
 

Mmh! Jamii hii ya wanaume ndio mnaowafanya wanawake kununua weupe dukani(mkorogo), kununua hips na makalio ya kichina, kubandika makope yale huko njian tinapishana na midoli mingine inatisha tunatamani kufumba macho, lakini yote haya ni sisi wanaume tumekuwa tunahitaji impossible kwa wanawake ili kukidhi matamanio yetu ya siku moja.
Please acha kujiendekeza kaa na mkeo kuwa creative mpende alivyo kama ile siku uliyomuomba kumuoa
 
uzinzi ni tabia ya mtu tu kuna mtu ana wake wa nne still anachepuka kwingine.

soma post yangu mpaka mwisho kama atachepuka bac huyo kashindikana uzinz unasababishwa na matamanio kama hivyo una mke mnene sasa unamtaman mwembamba unaruhusiwa kuoa ukimuoa huitwi uzinz inaitwa ndoa sasa ulipotaka ukazin bas acha peleka posa then oa watu wanaopinga hili n sababu tu wameshikwa na wake zao au din yao ila hakuna mtu ambaye hapendi kuwa na mke zaid ya 1.mke akiwa ktk cku zake mnaumwa wote au akijifungua nawe hupati haki yako aaaah ni shiiiiiida sn.
 
Kabla hujaoa ni bora ukataste ladha na sampuli tofauti tofauti kisha ndiyo ufanye maamuzi magumu
 

Nakushauri umnunulie mkorogo ..
 
chepuka hili ni zuri zaidi halafu uoone kama kuna lolote jipya ni yaleyale tu bro .kikubwa moyo umeumbiwa tamaa
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…