Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
ndyo maana uislamu ukaruhusu wake wanne nashangaa baada ya hli kywachukza wanawake lakin wanachukia wanaume ambao allah kafahamu udhaifu wao.ukiwa na wanne unachangwnya mnene,figure,mweupe na mweus kamq hutoshek hapo bc vumilia ukapate tn pepon..oa mwngne.
Uzinzi ni tabia ya mtu tu kuna MTU ana wake wa NNE still anachepuka kwingine.
Upo sawa my dear.
Na pia tabia inaenda na asili ya ukoo.
Kuna koo nyengine kuoa na kuacha ndo asili yao.
Akiwa Mwanamke ndo kabisa.
Hawajui tu kua uzinzi, michepuko ni roho zinazowatesa wengi mwishowe wana date na kila aina ya wanawake na still hawapati satistifaction yoyote zaidi ya kujitaftia maradhi na kuondoka duniani kabla ya siku zao.
Habar wana JF,
Mimi mwanzon kigezo cha rangi hakikuwa kipaumbele, lakini baada ya kuoa black sasa ndo mawazo yamekuwa tofauti.
Kila nikiona mwanamke mweupe au maji ya kunde namtaman sana, i wish mke wangu angekuwa vile bt unchangable.
Naomba ushauri, matusi hayasaidii, kwasababu nimejaribu kijizuia nimeshindwa kabisa, kitu white kinanidatisha.
uzinzi ni tabia ya mtu tu kuna mtu ana wake wa nne still anachepuka kwingine.
Habar wana JF,
Mimi mwanzon kigezo cha rangi hakikuwa kipaumbele, lakini baada ya kuoa black sasa ndo mawazo yamekuwa tofauti.
Kila nikiona mwanamke mweupe au maji ya kunde namtaman sana, i wish mke wangu angekuwa vile bt unchangable.
Naomba ushauri, matusi hayasaidii, kwasababu nimejaribu kijizuia nimeshindwa kabisa, kitu white kinanidatisha.
HahahaHabar wana JF,
Mimi mwanzon kigezo cha rangi hakikuwa kipaumbele, lakini baada ya kuoa black sasa ndo mawazo yamekuwa tofauti.
Kila nikiona mwanamke mweupe au maji ya kunde namtaman sana, i wish mke wangu angekuwa vile bt unchangable.
Naomba ushauri, matusi hayasaidii, kwasababu nimejaribu kijizuia nimeshindwa kabisa, kitu white kinanidatisha.