iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 440
- 1,086
- Thread starter
-
- #21
Mmh!pole mkuu Kun wakat tunapita katik vilinge vigumu nakutaman hat mambo flan yatokee ndipo huend tutakuwa saw.lakin kinachokosekan hpo ni kimoja t..MUNGU.mshirikishe Mungu kweny nyakat hzo unazopitia atakufnyia wepesi amini hili nakwambia
Hahahaha Mimi nilitaka nimwambie aende Pemba mnazi hukoKwa hiyo unataka tukupe mji uchague?
Haya nenda kimbiji.
Pole sana, hii kitu nilipitia katika maisha yangu
Ila nikafanya tafiti nikaondoka sehem ambayo nilizoeleka na kukulia nikajilipua mbali sana, ila mungu ni mkubwa maisha Alihamdullilah huku naishi kwa amani
Note. Inabidi uwe na roho ngum na uthubutu kama za ki beach boy zile
Kivipi mzee mwenzangu wazaziKuna sehem wazazi hua tunakosea sana...😑
Kivipi mzee mwenzangu wazazi
Tunakosea wapi Ebu funguka
Kuhusu ndugu vipi, unarud nyumbani? Matatizo yakitokea huku bongo si unarud lakiniUkifika mbali bado utakuja JF au JF nayo utaipptezea?
Nilipata wazo kama hili kuondoka Bongo mazima miaka ya 90, nikahamia mbali na nilikotokea, mpaka leo sina mpango wa kurudi Bongo.
Kwa hari niliyofikia sasahivi stamani kuzungukwa na mtu yeyote anaenifaham, nataman niende mbali ambapo nitaonekana ni mgeni kwa kila mtu, asinijue mtu yeyote, na huku ntakapotoka wasiwe na habari yangu wala taarifa zangu zozote ni wapi nitakapoenda , yan nipotee tu katika mazingira ya kutatanisha
Narudi. Ila familia ya karibu wanakuja sana huku kila nikitaka kuja TZ wao wanakuja huku karibu kila mwaka inabidi nikae huku tu.Kuhusu ndugu vipi, unarud nyumbani? Matatizo yakitokea huku bongo si unarud lakini
Kama una hela mbona hilo ni jambo jepesi tu! Hata hapa bongo Dar unaweza kujipoteza mwenyewe! Au ukenda mkoa unaojielewa kama Arusha au Mwanza! Au vimji vidogo visivyo na mambo mengi lakini vyenye hela kama IringaKwa hari niliyofikia sasahivi stamani kuzungukwa na mtu yeyote anaenifaham, nataman niende mbali ambapo nitaonekana ni mgeni kwa kila mtu, asinijue mtu yeyote, na huku ntakapotoka wasiwe na habari yangu wala taarifa zangu zozote ni wapi nitakapoenda , yan nipotee tu katika mazingira ya kutatanisha
Pole sana kwa magumu unayoyapitia. Bila shaka wewe bado ni kijana. Nimeumia sana moyoni, nikifikiria kama labda ni mtoto wangu angeweza kufikia hatua hiyo!!
Ingekuwa inawezekana, ningependa kujua zaidi: Je, ni nini kimekufanya kufikia hatua hii? Je, ni kuhisi familia na ndugu hawakupendi na kukuthamini? Je, ni ugumu wa maisha? Je, labda umefanya jambo unaloona limekutia sana aibu mbele ya unaowafahamu? Au unalazimishwa kuishi maisha usiyoyataka?
Lakini vyovyote iwavyo, ufahamu kuwa wewe ni mtu mwenye thamani kubwa sana mbele za Muumba wako, na kuna wengi wanakupenda na kukuthamini, japo yawezekana wengine hata huwafahamu. Ufahamu kuwa hata katika magumu, kuna wakati humea mema. Unaweza kupitishwa katika magumu ili akili yako iamke, ufanye uamuzi fulani, na huo uamuzi utakuondoa katika masikitiko, mahangaiko na hali ya kukata tamaa.
Ninachokusifu sana hukukaa na uamuzi wako moyoni, badala yake ukaamua kutushirikisha.
Kiufupi, kama unaona hali uliyofikia ni muhimu kujitenga, basi huna haja ya kufikiria kwenda mbali sana, huna haja ya kwenda Gaza au Burundi, wala Zimbabwe. Nchi hii ni kubwa, waweza kwenda mkoa mwingine, lakini ufanye hivyo kwa umakini, maana usije ukaenda ugenini halafu majuto yakawa magumu zaidi, ukaishia kukata tamaa.
Naomba utusaidie zaidi: upo mkoa gani? Una umri gani? Wewe ni wa jinsia gani? Kazi gani una uwezo wa kuzifanya? Wazazi wako wote wapo hai? Wanafanya shughuli gani? Una ndugu wengine katika familia, kama vile wadogo zako na wakubwa zako? Ni muumini mzuri wa dini (ukristo au uislam)?
Kama una hela mbona hilo ni jambo jepesi tu! Hata hapa bongo Dar unaweza kujipoteza mwenyewe! Au ukenda mkoa unaojielewa kama Arusha au Mwanza! Au vimji vidogo visivyo na mambo mengi lakini vyenye hela kama Iringa