Duh si kwa huu wivu nilionao yaani nijue kabisa mume yupo kwa mke mwenzangu? Ahh hapana kabisa
Duh wewe una wake wengi, hapanaπSawa tuu haina noma
Kwahy pm yngu huitakii[emoji30]
Dah unanifaa aseeπ€£π€£Mapenzi sio lazima kufatana ka kumbikumbi hata kuhitajiana wakati wa nyegezi nayo ni mapenzi pia
Duh wewe una wake wengi, hapana[emoji3]
Unao wewe, mi nimekuachaπWako wap jmn[emoji17]
Hee sawa kaka ujumbe ntafikisha kwa wifi akukubalieππDah unanifaa aseeπ€£π€£
financial services ukuje kunisaidia huku kakako kuweka mambo sawa..nasikia ukitumia mwanamke mambo yanakuwa mepesi zaidi etiπ€£π€£
Habari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Wawili hamumtoshi fanya atimize wanne ndio mswanoHabari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Habari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Sitaki kuwa bi mdogo au mke wa pili nop natamani tu niwe mke mkubwa afu mme wangu nimruhusu aoe mwingine ambae natamani tuwe na amani. Nawaona wake za baba yangu mkubwa yaani wanapendana huwezi Dhani ni wake wenza.
Japo kwa dini yetu ya kikristo wanaamini ni dhambi but.
Personally nimeyatamani sana haya maisha.
Miaka 27 haujaolewa, utaolewa kweli?Habari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Sitaki kuwa bi mdogo au mke wa pili nop natamani tu niwe mke mkubwa afu mme wangu nimruhusu aoe mwingine ambae natamani tuwe na amani. Nawaona wake za baba yangu mkubwa yaani wanapendana huwezi Dhani ni wake wenza.
Japo kwa dini yetu ya kikristo wanaamini ni dhambi but.
Personally nimeyatamani sana haya maisha.
ππππππππ naomba kuelezewa na mimiMie ni mwepesi sana kuwaelewa nyie watu nashukuru sana kwa hiliπ
Hamia uislam mkuuHabari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Sitaki kuwa bi mdogo au mke wa pili nop natamani tu niwe mke mkubwa afu mme wangu nimruhusu aoe mwingine ambae natamani tuwe na amani. Nawaona wake za baba yangu mkubwa yaani wanapendana huwezi Dhani ni wake wenza.
Japo kwa dini yetu ya kikristo wanaamini ni dhambi but.
Personally nimeyatamani sana haya maisha.
[emoji23][emoji23]Dah unanifaa asee[emoji1787][emoji1787]
financial services ukuje kunisaidia huku kakako kuweka mambo sawa..nasikia ukitumia mwanamke mambo yanakuwa mepesi zaidi eti[emoji1787][emoji1787]
Daah ila kweli aiseeHapo ni wewe umevaa viatu vyake ukaona unavyokosea ila yeye anajua anachotaka na madhara yake.
We ndio wife matetial, sijui umechelewa wapi kuolewaHabari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Sitaki kuwa bi mdogo au mke wa pili nop natamani tu niwe mke mkubwa afu mme wangu nimruhusu aoe mwingine ambae natamani tuwe na amani. Nawaona wake za baba yangu mkubwa yaani wanapendana huwezi Dhani ni wake wenza.
Japo kwa dini yetu ya kikristo wanaamini ni dhambi but.
Personally nimeyatamani sana haya maisha.
Uje maabara kule nitakuelezeaππππππππ naomba kuelezewa na mimi
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Uje maabara kule nitakuelezea
GoodHabari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Sitaki kuwa bi mdogo au mke wa pili nop natamani tu niwe mke mkubwa afu mme wangu nimruhusu aoe mwingine ambae natamani tuwe na amani. Nawaona wake za baba yangu mkubwa yaani wanapendana huwezi Dhani ni wake wenza.
Japo kwa dini yetu ya kikristo wanaamini ni dhambi but.
Personally nimeyatamani sana haya maisha.
Inaitwa PM Labaratory Servicesπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Maabara ni wapi ?