Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chakorii leo upo kisharishari sana🤣, huyu mpendwa si tunamjua jamani, au hutaki uzi uchangamke?😳😳😳Hadi wewe💔💔💔
Nikasema huyu anaweza kuniumiza,muda wa kupiga penalties ukifika wakishinda ufaransa namkalia mbali maana huu siyo ushangiliaji. 😅😅Yani wewe….nilikuona ulivyokuwa unaniombea mabaya Kwa Mbappe 😁😁
Nimechoka.Pambana mama
😭😭😭😭😭😭Mwache akufe dia waliaji tupo
I'm sorry madam🙏Wewe wanifahamu😀😀
Naheshimu privacy za watu sana na unalijua hilo.hapa nimemind.
Ikawaje??Mama…hebu fanya mambo Kwa kiasi na yasiwe mengi ndugu yangu ukaubadilisha huu uzi😳😳😳
Kutambua tu Kuna maumivu na kujua utaweza ku-control hisia dhidi ya any mapicha picha ni Bima tosha hiyooInapatikana wapi?
Hivi unahisi ushangiliaji wangu ulimpita yule mshangiliaji wa Argentina aliyetaka kuvunja tv ile ya pale juu🤣🤣Nikasema huyu anaweza kuniumiza,muda wa kupiga penalties ukifika wakishinda ufaransa namkalia mbali maana huu siyo ushangiliaji. 😅😅
Hahaha umesema ninachoandika kweli hujui basi??Mwache akufe dia waliaji tupo
Kungwi mwenzangu bhna…🤣🤣Kutambua tu Kuna maumivu na kujua utaweza ku-control hisia dhidi ya any mapicha picha ni Bima tosha hiyoo
Kungwi unani enjoy eeh😅😅?nakutegemea wewe kwenye hii sekta et.
[emoji1787] Kumbe ujirani sio wa kusaidiana mambo mengine ni wa kuomba chumvi tuMuite mwenyewe jirani[emoji1787][emoji1787]
Ukimpata shemeji chawa ,atakua anakutetea tu we mpiga bia kila ukikutana naeMawifi na mashemeji ni watu wabaya wala hujakose[emoji1787][emoji1787]pambana wifi