Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣Hebu kunywa maji kidogo basi lavu😄
Maji hayapiti, koo limekaba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Hebu kunywa maji kidogo basi lavu😄
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Sasa anaogopa nini,hebu muiteWoga muhimu[emoji38][emoji38]
😂😂😂😂😂Mzee mhb…😂😂hatari sna
Ngoja nikuletee novida!🤣🤣🤣
Maji hayapiti, koo limekaba.
Muhimu ni kufanya mahojiano kwanza na mhusika😃😃Lovely, trick yangu hatimae imefanyiwa kazi na matokeo yake mazuri🤣🤣🤣.
Sasa kama makandokando yake unaona kabisa hayavumiliki, hem.muweke pembeni chap ili usijepata sonona, atakuja mwingine mnayeendana kwa mengi, trust me!
Thanks changu ...Happy new year na kwako pia Lee.
Kuna sehemu nilikutag jana.
Kuna mwamba alianza kuandika mwandiko wa uongo.
Unique amekuja, anajua kila kitu. Unique mwaga mboga🤣🤣🤣🤣Najua unampenda nani na ulimchukua kwanani
Mixing u ila nilipondwa sana best wangu hata ujawakanya😂😂😂😂😂
Mhb waaapi, taabu tupu.
Ngumi ni mpaka um-cc bwana.Nije nikupige ngumi nzito hapo😀😀
Kumbukumbu haifutiki kabisa.Ilikuwa ni siku Bora Sana iliyoacha kumbukumbu ya kuvutia. Mbappe oyeee!!
Happy New year kwako na Mr Chriss.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nani tena anakuponda best? Sikuona bwana, ungeniita niwasambaratishe.Mixing u ila nilipondwa sana best wangu hata ujawakanya
Hebu nipe siri za kambi basi. Maana heka heka anazonipa hadi shetani anaogopa.We haya….
Hujamjulia kaka angu we nae
Kubali tu yaishe mwaya unapokea mwaka without him seriously take it easy hajatuliaga ila atakuja mtu atakupenda sana tofauti nayeyePole 💕