Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya [emoji847]Nidokezeee
Kweli Kabisa! Kama yanavumilika mbona fureshhh mnalisongesha ivoivo Sema kumfanya mtu mzima tena mwanaume kuwa unavotaka wewe ile completely hapo ndio changamoto !!Hakuna asiyekuwa na makandokando, hiyo ni sehemu ya maisha. Swali ni je, yanavumilika?
Mhh...Yes asilimia mia sijakosea…lakini unamakando kando mengi(nayajua )na yananiumiza.
Hapi nu yia
Kila kizuri kina kasoro sister. Mpende Kama alivyo.Yes asilimia mia sijakosea…lakini unamakando kando mengi(nayajua )na yananiumiza.
Hapi nu yia
Nimeshamlaza kifuani amepoa kidogo…kwikwi naanza kuisikia Kwa mbali.Kabla ya kupewa mbunu Kuna swali hapo la Mr ERoni je hayo makandokando yanavumilika?? au ndio ushasema huwezagi kuvumilia zaidi ya kuumia tu??
Je ushaongea nae kuhusu hayo na ikashindikana kabisa???
Upo kaka…Kila kizuri kina kasoro sister. Mpende Kama alivyo.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hapo vizuri dear!! ✌️Nimeshamlaza kifuani amepoa kidogo…kwikwi naanza kuisikia Kwa mbali.
Akitulia nitamfanyia mahojiano then nitakuja kujibu hili swali
Lovely, trick yangu hatimae imefanyiwa kazi na matokeo yake mazuri🤣🤣🤣.Nimeshamlaza kifuani amepoa kidogo…kwikwi naanza kuisikia Kwa mbali.
Akitulia nitamfanyia mahojiano then nitakuja kujibu hili swali
Ilikuwa ni siku Bora Sana iliyoacha kumbukumbu ya kuvutia. Mbappe oyeee!!Upo kaka…
Unaendeleaje…
Nimeona comment yako nikakumbuka kombe la dunia ndugu yangu[emoji16][emoji16]
Anyway leo Chriss alinimbia nikusalimie