Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Hapana, nielewesheWe mrembo employers Portal unaielewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, nielewesheWe mrembo employers Portal unaielewa
Nakuelewa vizuri dear vizuri mnooo!! Mpe muda na mbadilishe taratibu!!🤣🤣Kwa bahati mbaya ulichokiedit nimeshakisoma 🤣🤣.
My love maisha haya…
[emoji1787] [emoji1787] Nitakuja kwako nikuelewesheHapana, nieleweshe
Heee[emoji1787] [emoji1787] Nitakuja kwako nikueleweshe
Makandokando mengi sio poaaa wa vipaji!!Basi kazi imeisha, hiyo ndio ilikuwa hoja yangu🤣
😂😂😂😂😂Atakuwa amekumbana na furushi prof [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Amen BL.Wabheja sana mkuu! Holiday Ndio inaisha hivooo nimeinjoy sio kidogo rafiki!!
Mama E loves you alot afu katulia hanaga mambo mengi kabisa nampenda yuko straight hakwepeshi akiona upuuzi wala hapendi kucheka na nyani[emoji41]!
Mfikishie salamu Zangu nampenda na kumkubali mnooo[emoji3577]
Ili akili isichokeHeee
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yani wewe..
Ngoja nimuite S amzibue huyo erroni maana anapuyanga sana🤣🤣
Ili akili isichoke
Kapi tena prof?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja apambane.
Sasa prof kale kampango ketu kanakuwaje?
Hakuna asiyekuwa na makandokando, hiyo ni sehemu ya maisha. Swali ni je, yanavumilika?Makandokando mengi sio poaaa wa vipaji!!
S ndio nani tena jamani?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yani wewe..
Ngoja nimuite S amzibue huyo erroni maana anapuyanga sana🤣🤣