Natamani nikupende asilimia mia

Natamani nikupende asilimia mia

Mimi wala sio mpenzi wa picha as naweza tengeneza yangu kwa maelezo yako🤣
Mtu akilia unamwacha tu alie, ila hakikisha analia na kutoa machozi kweli kweli. Hii itamsaidia kuimarisha afya yake ya akili.

Ila sasa, huyo phaller akilia muweke kifuani umbembeleze, wallah nakuambia within no seconds atakuwa anapiga tu kwikwi🤣🤣🤣
Ngoja nikaoge nipulizie na perfume ndipo nimuweke kifuani maana nimetoka shamba kupalilia mahindi vumbi mpka kwenye nywele..nikaogopa nikimweka kifuania atapiga chafya kishenzi😁😁

Aise nimemuacha alie mpka akate moto asinichoshe
 
Ngoja nikaoge nipulizie na perfume ndipo nimuweke kifuani maana nimetoka shamba kupalilia mahindi vumbi mpka kwenye nywele..nikaogopa nikimweka kifuania atapiga chafya kishenzi😁😁

Aise nimemuacha alie mpka akate moto asinichoshe
Kwani analia nini huyo mwamba, kuna kitu umemnyima? Hem mpe tuone kama atazira...manake watu siku hizi wanazira hata kwa vitamu🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Wale Mambo yao waachie wenyewe wa vipaji

iga ufeeeeee😁😁😁😁😁!
Hii style naipenda, natamani kuitumia ila sasa shida naitumiaje? Ila watu walifaidi sana madam!! Hivi walikula wakashiba au hii tabia ya kubakisha chakula wanayo?🤣🤣
 
Kwani analia nini huyo mwamba, kuna kitu umemnyima? Hem mpe tuone kama atazira...manake watu siku hizi wanazira hata kwa vitamu🤣🤣🤣
Huyu nikiamua kumfanya asahau stress dakika tano nyingi sana.

Ngoja kwanza alie asafishe macho
 
Aaah kumbe mbinu zote unazo, basi hadi mkesha wa mwaka mpya uwe ushapata suluhu ya hili.🤣 mrejesho muhimu.
Mbinu zote za kivita ninazo unajua😅

Ni timing namlia tu
 
Back
Top Bottom