Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikaoge nipulizie na perfume ndipo nimuweke kifuani maana nimetoka shamba kupalilia mahindi vumbi mpka kwenye nywele..nikaogopa nikimweka kifuania atapiga chafya kishenzi😁😁Mimi wala sio mpenzi wa picha as naweza tengeneza yangu kwa maelezo yako🤣
Mtu akilia unamwacha tu alie, ila hakikisha analia na kutoa machozi kweli kweli. Hii itamsaidia kuimarisha afya yake ya akili.
Ila sasa, huyo phaller akilia muweke kifuani umbembeleze, wallah nakuambia within no seconds atakuwa anapiga tu kwikwi🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Wale Mambo yao waachie wenyewe wa vipajiiiiiiiiiiiiiKuna wale jamaa walipenda sana kutumia carbon copy kufikisha ujumbe, sa mbona Chakorii umesahau kufanya hivyo?
Kwani analia nini huyo mwamba, kuna kitu umemnyima? Hem mpe tuone kama atazira...manake watu siku hizi wanazira hata kwa vitamu🤣🤣🤣Ngoja nikaoge nipulizie na perfume ndipo nimuweke kifuani maana nimetoka shamba kupalilia mahindi vumbi mpka kwenye nywele..nikaogopa nikimweka kifuania atapiga chafya kishenzi😁😁
Aise nimemuacha alie mpka akate moto asinichoshe
Umekaza sana atakua kama bubu ujue mtu alikua Mchangamfu kweli kweli 😎!Amekusikia my love..
😎
Hii style naipenda, natamani kuitumia ila sasa shida naitumiaje? Ila watu walifaidi sana madam!! Hivi walikula wakashiba au hii tabia ya kubakisha chakula wanayo?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Wale Mambo yao waachie wenyewe wa vipaji
iga ufeeeeee😁😁😁😁😁!
Mpe moyo wotee, makandokando yataisha. Trust the processYes asilimia mia sijakosea…lakini unamakando kando mengi(nayajua )na yananiumiza.
Hapi nu yia
Sukuzote Hakunaga kushiba Ndiomana kesho keshokutwa unakula tena na tena😁!!Hii style naipenda, natamani kuitumia ila sasa shida naitumiaje? Ila watu walifaidi sana madam!! Hivi walikula wakashiba au hii tabia ya kubakisha chakula wanayo?🤣🤣
Aaah kumbe mbinu zote unazo, basi hadi mkesha wa mwaka mpya uwe ushapata suluhu ya hili.🤣 mrejesho muhimu.Huyu nikiamua kumfanya asahau stress dakika tano nyingi sana.
Ngoja kwanza alie asafishe macho
CcUnafikiri nini kinamiss mama
unaleta uzi tuanze kubashiri kufumbua fumbo.Ndugu mwanajf mwenzangu elewa basi kichwa cha habari na kilichomo ndani..
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Jirani mngeenda kuyamaliza PM huko mlipoanziaYes asilimia mia sijakosea…lakini unamakando kando mengi(nayajua )na yananiumiza.
Hapi nu yia