Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee usiniambieNingepata dem mwenye lips kama hizo zako ningeacha makando kando yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu acha kukaza fuvu basi😂😂😂Ndio nani tena ndugu yangu
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimekuja kwa kasi umenifungulia uziJirani ulipotelea wapi?
Jirani Niko matured kishenzi aise
Legeza moyo na mambo mengine yanasovika kwa kuzungumza kwa Lengo la kusovu/ kuweka sawa!Si kila mtu anaweza kuzungumza….zaidi ya kuumia🥺
Ni kizuri sema hakijapatapo mwalimu mzuri wa kunirekebisha..🤣🤣🤣🤣kichwa yako si nzuri dadiloo
Sema kweliBhana weee nimekamatika na mtoto wa mama mkwe
Na mara nyingi kweli hazifiki. Sasa kama mwamba anapenga kamasi kwa kilio huko atajuaje yanayojiri huku🤣Ndio ndio, hivi ujumbe unachelewa sana kufika au unaweza usifike kabisa😂😂😂
Wekeza tu kwenye huo upendo kwa 100%! Hayo makandokando mwachie mwenyewe.Yes asilimia mia sijakosea…lakini unamakando kando mengi(nayajua )na yananiumiza.
Hapi nu yia