Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Wezi watamchukia Mpina...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliiba nini?.Niliiba nini mkuu? Mpina ndio mwizi namba moja enzi akiwa waziri wa uvuvi
Shida ya Mpina ni "radical" mno kwenye utendaji wake na ana upungufu wa busara na hekima hataweza kufit kwenye mizani na style ya utendaji wa mama. Watagombana tuNi mawazo tu kwamba hivi Mama akitaka ku win watanzania ambao kuna baadhi wamekata tamaa 100% kuhusu viongozi wao kukumbatia uozo, ampe Mpina Wizara angalau si Kubwa Kama ya fedha ila walau Wizara asimamie
Britanicca
He who alledges must prove, umekuja na maneno yako hapo tuwekee hiyo clip Magufuli akitamka hayo maneno uumbuke kwa ushahidi wako mwenyewe.Leta clip basi dada tuione ili tusikie hayo maneno ya ujasiri
Ni mawazo tu kwamba hivi Mama akitaka ku win watanzania ambao kuna baadhi wamekata tamaa 100% kuhusu viongozi wao kukumbatia uozo, ampe Mpina Wizara angalau si Kubwa Kama ya fedha ila walau Wizara asimamie
Britanicca
Leta clip wacha mbambambaHe who alledges must prove, umekuja na maneno yako hapo tuwekee hiyo clip Magufuli akitamka hayo maneno uumbuke kwa ushahidi wako mwenyewe.
Wewe asili yako ni ya wachawi,nyanokoLeta clip basi dada tuione ili tusikie hayo maneno ya ujasiri
Mpina ni mbunge Tangu Samia ni chawaHuyo hafai kuwa Waziri, anajipiga piga kifua sana kujiona yeye ni bora, too arrogant, na ubunge atafyekwa 2025
Nenda youtube, type; HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE.Leta clip wacha mbambamba