Natamani Samaki wa Kuchoma na Chipsi mieeeeee

Natamani Samaki wa Kuchoma na Chipsi mieeeeee

Queen Kan acha kunizibia kampani ya Lady doctor. Si unaona kuna vitisho vya kuondoka na mimba? Ngachoka!! Uja na wewe twende.
 
Last edited by a moderator:
samaki mchanga ndo yupi? and whats the other option mzazi? Erickb52

Karucee huwajui wana Mtwara na Chamaki Nchanga?
Kuna samaki wao aisee wako juu mbaya....yani sio samaki wa majini ni samaki wa mchangani ila sio gas hahahaaa
 
Last edited by a moderator:
Karucee huwajui wana Mtwara na Chamaki Nchanga?
Kuna samaki wao aisee wako juu mbaya....yani sio samaki wa majini ni samaki wa mchangani ila sio gas hahahaaa

wanasema watamu sana eti....
 
Last edited by a moderator:
Kimara samaki ungesema ya nguruwe ndo ipo. hiyo mitaa ya kwa matajiri yaani beach.
 
Shosti umeunganisha voda fasta eeh? Hizi cravings sio bure. Utoke huko shamba ukashangae bahari. Pale kawe club kuna samaki choma balaa si kidogo. Na usimbebe mtoto plz. Muache awe mtoto apumzike home, unless unaenda merrybrown akabembee.

Naomba huyo mwanangu usimuingize popote panapouzwa pombe. Akikua atazitafuta mwenyewe.
 
King'asti, uwiiii. AHahahaha. Hamna cha voda faasta. Nimetamani tu. Nilikuwa napaona Kawe Club mbali so nimeeenda karibu na home kuna sehemu inaitwa Luxury. Nimepata mishkaki. Kuhusu pombe worry not. My marriage with alcohol is over.... so my son is safe... plus I go everywhere with him. Sijapata bado mdada mwenye akili timamu wa kumuachia mwanao.
 
Last edited by a moderator:
Lady doctor ni PM tafadhari nina maneno ya ziada kwako.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom