mambo ya weekend hayo
afadhali iishe tuuna ndo yaishia hivyo!
afadhali iishe tuu
Mmmh...we mtoto mkabila siku hizi eeh?
tokea mchana nipo nipo tu hata sijielewakwann jaman!?
tokea mchana nipo nipo tu hata sijielewa
shukran Queen Kan.jaman! Pole mwaya, siku hazifanani!! Next weekend utakua poa uthijali
shukran queen kan.
amekuwa kiti huyu jamaa? wacha aje tusikie....
kawe beach... toka huko mbezi kwa wachaga. lol
Thamakiiii...........
okey....you are welcom
Saaaanaaaaa...mtammUmefurahiiiii!!!
Lady doctor ni PM tafadhari nina maneno ya ziada kwako.