Natamani sana kila member humu wa JamiiForums atumie jina na pamoja na picha yake halisi

Natamani sana kila member humu wa JamiiForums atumie jina na pamoja na picha yake halisi

Itakuwa vizur maana michango mingine mtu anatoa mpaka unataman kumuona live
Kweli mkuu mfano mimi kuna watu humu nawakubali sana na ningependa hata nikutane nao mkuu
 
Back
Top Bottom