Natamani sana kwenda mahala kuogelea kwenye swimming lakini nikiwaza vikojozi hamu inakata kabisa

Natamani sana kwenda mahala kuogelea kwenye swimming lakini nikiwaza vikojozi hamu inakata kabisa

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
NAPENDA sana kuogelea lakini Nikiwaza kwenda kuogelea maji ya baharini/Ziwani kuna mtihani mwingine huwa naogopa kuogelea maji ambayo sioni ndani yake kuna nini kwa kuhofia nyangumi, wanyama wa majini na mazingaombwe ya majini!
Hivyo sehemu pekee ya kistaarabu ni Swimming pool lakini huku nako kumeingiliwa!

Niko hapa natamani kwenda kuogelea sehemu yoyote yenye swimming pool lakini nikikumbuka kuwa kuna waogeleaji wengine hukojoa humohumo kwenye pool au wakati mwingine wengine kujamiiana kabisa humohumo inanipa kinyaa!

Hamu ya kuogelea inakata kabisa! Na hili limekuwa likinikatisha tamaa kila nikiwaza kuogelea!

Sijui huko wenzagu!
 
NAPENDA sana kuogelea lakini Nikiwaza kwenda kuogelea maji ya baharini/Ziwani kuna mtihani mwingine huwa naogopa kuogelea maji ambayo sioni ndani yake kuna nini kwa kuhofia nyangumi, wanyama wa majini na mazingaombwe ya majini!
Hivyo sehemu pekee ya kistaarabu ni Swimming pool lakini huku nako kumeingiliwa!

Niko hapa natamani kwenda kuogelea sehemu yoyote yenye swimming pool lakini nikikumbuka kuwa kuna waogeleaji wengine hukojoa humohumo kwenye pool au wakati mwingine wengine kujamiiana kabisa humohumo inanipa kinyaa!

Hamu ya kuogelea inakata kabisa! Na hili limekuwa likinikatisha tamaa kila nikiwaza kuogelea!

Sijui huko wenzagu!
Kwanza pole, ila sijajua jinsia yako.

Ungetengeneza tu swimming pool kwako utaenjoy vzr sana.

Maana juzi nilienda beach moja aisee watoto wa watu wanaliwa kinoma na wale beach boy, anampeleka ndani huko alafu anamfanyia kitendo kibaya.
 
NAPENDA sana kuogelea lakini Nikiwaza kwenda kuogelea maji ya baharini/Ziwani kuna mtihani mwingine huwa naogopa kuogelea maji ambayo sioni ndani yake kuna nini kwa kuhofia nyangumi, wanyama wa majini na mazingaombwe ya majini!
Hivyo sehemu pekee ya kistaarabu ni Swimming pool lakini huku nako kumeingiliwa!

Niko hapa natamani kwenda kuogelea sehemu yoyote yenye swimming pool lakini nikikumbuka kuwa kuna waogeleaji wengine hukojoa humohumo kwenye pool au wakati mwingine wengine kujamiiana kabisa humohumo inanipa kinyaa!

Hamu ya kuogelea inakata kabisa! Na hili limekuwa likinikatisha tamaa kila nikiwaza kuogelea!

Sijui huko wenzagu!
Wengine wanakunya ndani, anazama chini na kuachia kitu anaibukia sehemu tofauti
 
Kwanza pole, ila sijajua jinsia yako.

Ungetengeneza tu swimming pool kwako utaenjoy vzr sana.

Maana juzi nilienda beach moja aisee watoto wa watu wanaliwa kinoma na wale beach boy, anampeleka ndani huko alafu anamfanyia kitendo kibaya.
Asante kwa ushauri, kwani kwa makadirio ya chini swimming pool inaweza gharimu kiasi gani kwa mfano (minimum rafu bajeti)
 
jenga yako kama hutaki hayo mambo we nenda kaoge fata yanayokuhusu tuuh ayo mamb kwa waswahiLi ni damdam wanaoenda ayo mamb
 
Sijaelewa sababu za kutoogelea ziwani/baharini. Kama unaogopa viumbe wa majini Kaa kwenye kina kifupi.
 
Back
Top Bottom