Natamani sana kwenda mahala kuogelea kwenye swimming lakini nikiwaza vikojozi hamu inakata kabisa

Natamani sana kwenda mahala kuogelea kwenye swimming lakini nikiwaza vikojozi hamu inakata kabisa

Usibishe wewe haiwezekani maji asubuhi tuweke Lita 3000 jioni ziwe 3452!!!! Hizo 452 zimetoka wapi..? Acheni hizo ustaarabu kitu cha bure..[emoji23]
Hahahha sikitaki hiko cheo [emoji1787]
 
Hahahha sikitaki hiko cheo [emoji1787]
Hizo Lita 2 ndo zakwako!.. chakufanya jitahidi wenzako wanamwaga kojo hadi la Lita 5,ongeza spidi huo ndo husia wangu maana hamuwezi kuacha mmeshakubuhu.
 
Hizo Lita 2 ndo zakwako!.. chakufanya jitahidi wenzako wanamwaga kojo hadi la Lita 5,ongeza spidi huo ndo husia wangu maana hamuwezi kuacha mmeshakubuhu.
Alooh
 
Na huu ndo ukweli wengi hawaujui. The yale maji yana dawa. Ukikojoa mkojo unakuwa hauna madhara
Kama watu wa fumigation tu huwa wanapiga dawa feki wadudu hawafi, sembuse huko pool kwenye mikojo isiyoonekana
 
Haina uhakika
Wakiweka dawa ya kuuwa wadudu Mara nyingi waogeleaji hulalamika ngozi kuwashwa! So kuliko kuwakera wateja huweka dawa kidocho ambayo haina madhara kwa wadudu na kwa waogeleaji!

Sasa hapo wakilimwaga humo unalo!
 
Tengeneza ka swimming pool flani hapo geto kwako utaogelea kwa Raha zote
 
Hizo Lita 2 ndo zakwako!.. chakufanya jitahidi wenzako wanamwaga kojo hadi la Lita 5,ongeza spidi huo ndo husia wangu maana hamuwezi kuacha mmeshakubuhu.
Kha [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom