Jamani wanajamvi!
Mimi ni mdau na mchangiaji mzuri wa maada mbalimbali hapa jamvini,
Kadri cku zinavyosonga mbele najikuta nafurahishwa sana comments za "madame x" mpaka naanza kutaman walau kumuona,kujua anaishi wapi na hata username yake ni burudani tosha kwangu!
Pleaz naombeni ushauri!
We dogo wee, inakuwaje unataka kuingia chooni bila kupiga hodi?
Hivi hujui baba mwenye nyumba ndiye aliyejenga choo?
Na nikuone unamfuatilie tena MadameX, ntakupiga ban usionekane hapa jukwaani.
MR.LEOduuh unanitafutie kesi humu ndani, maana sijui nianze wapi.... Bujibuji na MziziMkavu watawajibu. Lakini jina lako kama vile namuona DiCaprio in my dreams