GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Utakuja Kwangu GENTAMYCINE na Mchango wako tu wa Shilingi Elfu Hamsini ( Tsh 50,000/= ) tu kisha Maelekezo yafuatayo yatafuata Kwako.....
1. Kuna Fomu utajaza aina ya Kazi ambayo utaiweza na hasa hasa ni za Uokoaji Watu wakiwa Matatizoni
2. Kisha mkishakuwa Watu 25 tu Mimi GENTAMYCINE nitakuwa sasa nawatawanya katika Maeneo Hatarishi ya Ajali za Anga, Maji, Barabara na Treni.
3. Mkiwa huko nitakuwa nawapigieni Simu kuwa kuna Ajali zimetokea kisha nyie Waokoaji niliowaajiri mnawahi huko na kuwa wa Kwanza kufika kisha mnajitolea kwa Nguvu na Juhudi zenu zote Kuokoa Watu ila jitahidini wengine muwaache waondoke mazima Duniani ili kulifanya Tukio lionekane ni Kubwa na la Majonzi kwa Rais, Waziri Mkuu, Wakuu wa Mikoa na Watanzania kwa Ujumla
4. Mkimaliza Shughuli hiyo ya Uokoaji Mimi GENTAMYCINE nitakuwa naulizia ni Kiongozi gani wa Kitaifa anakuja ili niwatengenezeeni Mazingira ya nyie Waokoaji kuonekana ni Mashujaa kwa Viongozi na Watanzania ili Zawadi zianze Kumiminika Kwenu ( hasa za Mamilioni, Magari, Magodoro na Pikipiki )
4. Mwisho katika Kila Tukio nyie Waokoaji niliowaajiri GENTAMYCINE mkiwa mnapewa Mizawadi ( hasa Pesa ) tutakuwa tunagawana Pasu kwa Pasu ( 50/50 )
Kuhusu je, hizi Ajali zitakuwa zinapatikana na zinajitokeza vipi ili nanyi hii Ajira yenu iliyobuniwa nami GENTAMYCINE iwe ni ya Kudumu niachieni Mimi tena kwa sasa baada ya Kuona Viongozi Wakubwa ( Waandamizi ) wakifika tu Mazishini huanza kwa kutafuta Sifa kwa Waombolezaji tegemeeni tu Kuzisikia nyingi kuanzia sasa.
Kwa sasa GENTAMYCINE nitawekeza zaidi katika Kuongea na Mafundi wa Ndege, Meli, Magari ( hasa Mabasi ) na Treni ili wawe wananilegezea Nati kwa Makusudi kusudi Vyombo vianguke, vizame na viachie njia na Maafa yatokee nitengeneze Pesa kupitia Waokoaji wangu niliowaajiri kupitia Zawadi mbalimbali watakazopewa na Viongozi wa Serikali ambapo nami nitakuwa nawagawia nao Pesa kidogo ili waendelee kunisababishia Matatizo ya Kiufundi kwa hivi Vyombo Muhimu vinavyobeba Roho za Wanadamu wengi nchini Tanzania.
Kwa mtakaonielewa vyema kabisa katika Uzi huu Mbarikiwe ila kwa wale ambao Uzi huu utawakwaza na utawachanganyeni Kuuelewa GENTAMYCINE niseme tu Samahani na Poleni, ila ninachojua tu ni kwamba kwa Uzi huu Message is sent and delivered accordingly kule nilikokulenga hasa.
1. Kuna Fomu utajaza aina ya Kazi ambayo utaiweza na hasa hasa ni za Uokoaji Watu wakiwa Matatizoni
2. Kisha mkishakuwa Watu 25 tu Mimi GENTAMYCINE nitakuwa sasa nawatawanya katika Maeneo Hatarishi ya Ajali za Anga, Maji, Barabara na Treni.
3. Mkiwa huko nitakuwa nawapigieni Simu kuwa kuna Ajali zimetokea kisha nyie Waokoaji niliowaajiri mnawahi huko na kuwa wa Kwanza kufika kisha mnajitolea kwa Nguvu na Juhudi zenu zote Kuokoa Watu ila jitahidini wengine muwaache waondoke mazima Duniani ili kulifanya Tukio lionekane ni Kubwa na la Majonzi kwa Rais, Waziri Mkuu, Wakuu wa Mikoa na Watanzania kwa Ujumla
4. Mkimaliza Shughuli hiyo ya Uokoaji Mimi GENTAMYCINE nitakuwa naulizia ni Kiongozi gani wa Kitaifa anakuja ili niwatengenezeeni Mazingira ya nyie Waokoaji kuonekana ni Mashujaa kwa Viongozi na Watanzania ili Zawadi zianze Kumiminika Kwenu ( hasa za Mamilioni, Magari, Magodoro na Pikipiki )
4. Mwisho katika Kila Tukio nyie Waokoaji niliowaajiri GENTAMYCINE mkiwa mnapewa Mizawadi ( hasa Pesa ) tutakuwa tunagawana Pasu kwa Pasu ( 50/50 )
Kuhusu je, hizi Ajali zitakuwa zinapatikana na zinajitokeza vipi ili nanyi hii Ajira yenu iliyobuniwa nami GENTAMYCINE iwe ni ya Kudumu niachieni Mimi tena kwa sasa baada ya Kuona Viongozi Wakubwa ( Waandamizi ) wakifika tu Mazishini huanza kwa kutafuta Sifa kwa Waombolezaji tegemeeni tu Kuzisikia nyingi kuanzia sasa.
Kwa sasa GENTAMYCINE nitawekeza zaidi katika Kuongea na Mafundi wa Ndege, Meli, Magari ( hasa Mabasi ) na Treni ili wawe wananilegezea Nati kwa Makusudi kusudi Vyombo vianguke, vizame na viachie njia na Maafa yatokee nitengeneze Pesa kupitia Waokoaji wangu niliowaajiri kupitia Zawadi mbalimbali watakazopewa na Viongozi wa Serikali ambapo nami nitakuwa nawagawia nao Pesa kidogo ili waendelee kunisababishia Matatizo ya Kiufundi kwa hivi Vyombo Muhimu vinavyobeba Roho za Wanadamu wengi nchini Tanzania.
Kwa mtakaonielewa vyema kabisa katika Uzi huu Mbarikiwe ila kwa wale ambao Uzi huu utawakwaza na utawachanganyeni Kuuelewa GENTAMYCINE niseme tu Samahani na Poleni, ila ninachojua tu ni kwamba kwa Uzi huu Message is sent and delivered accordingly kule nilikokulenga hasa.