Natangaza kuacha pombe rasmi 2021

Natangaza kuacha pombe rasmi 2021

Vyapombe wawili wakipeana matumaini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]

Mshirikisheni Mungu,anajua udhaifu wenu na atajua namna ya kuwasaidia.

Sasa wewe pompeo sijui itakuwaje kwako maana hata Mungu humuamini.
Hahaha mimi nisharudi kundinii...kumbe niliandika huu uzi nikiwa nimelewa
 
Kuacha pombe Kama ishakukolea kwenye damu ni ngumu mnoo ni Kama ngamia kupenya tundu la sindano wanaoweza ni amateurs tu
 
Back
Top Bottom