koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,789
- 10,388
Wasiokunywa huwa wanapitwa na mengi ni raha sanaNi ngumu aisee...pombe ni uhai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiokunywa huwa wanapitwa na mengi ni raha sanaNi ngumu aisee...pombe ni uhai
Hivi muda ambao tunakuwaga bar tukiacha kunywa tufanye nini tatizo linaanzia hapoUnakwama wapi mkuu ULIDHAMIRIA KWELII??
Safi. 👏👏👏Ha ha ha msimamo uko pale pale nimeshaapa sitaki kujisaliti.
Happy new year
Vyapombe wawili wakipeana matumaini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Mshirikisheni Mungu,anajua udhaifu wenu na atajua namna ya kuwasaidia.
Sasa wewe pompeo sijui itakuwaje kwako maana hata Mungu humuamini.
Ukiacha pombe hata kwa miezi miwili tu! Basi nitatembea kwa mguu hadi huko ulipoDay 6....sober
Ukilewa ndio huwa unakuwa na mawazo hayo.Espy na Saint Anne mtafurahi sana...hatimaee
Nilikuwa sijauona huu uzi, hopefull bangi zishakuisha.Mimi Hazard CFC nikiwa na akili zangu timamu bila kulazimishwa na yoyote bila kua na hangover natangaza rasmi kupumzika kunywa pombe za wingi(za bar na makapani yakishenzi) mpaka pale nitakapo tangaza tena...nitakua na chupa yangu moja ya whiskey na wine ndani kila baada ya mlo wa ucku nitakunywa a glass of wine/whiskey na sio chupa la whiskey kama ilivyo sasa na kipindi cha nyuma...
Maisha yafaa nini bila pombe?? Pombe ni uhai
Najua ni ngumu ila nitajitahidi kuyatekeleza maamuzi yangu haya ya kijinga kabisa kuwahi kufanya toka nizaliwe
Happy new year wakuu
Ukiacha pombe hata kwa miezi miwili tu! Basi nitatembea kwa mguu hadi huko ulipo
[emoji1787][emoji1787] na kwelUkilewa ndio huwa unakuwa na mawazo hayo.
EeeeehNilikuwa sijauona huu uzi, hopefull bangi zishakuisha.
Nakushauri usiache pombe aisee. Utaanza kurudi nyumbani mapema na kuanza kufanya umbea na wife. Pombe ni uhai lakini isikupelekeshe tu. Kama unaweza punguza tu lkn USIACHE
Punguza tu mkuu
Niliandika hii thread nikiwa nimelewa... sijachaa ni ulevi tu wakuuHali ikoje wadau?
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji481][emoji481][emoji481]Niliandika hii thread nikiwa nimelewa... sijachaa ni ulevi tu wakuu