Natangaza kuacha pombe rasmi 2021

Vyapombe wawili wakipeana matumaini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]

Mshirikisheni Mungu,anajua udhaifu wenu na atajua namna ya kuwasaidia.

Sasa wewe pompeo sijui itakuwaje kwako maana hata Mungu humuamini.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa sijauona huu uzi, hopefull bangi zishakuisha.
 
Nakushauri usiache pombe aisee. Utaanza kurudi nyumbani mapema na kuanza kufanya umbea na wife. Pombe ni uhai lakini isikupelekeshe tu. Kama unaweza punguza tu lkn USIACHE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…