[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119]Niliandika hii thread nikiwa nimelewa... sijachaa ni ulevi tu wakuu
Aisee.. ndiyo nimeingia chamani..π
[/QUOTE
Karibu kvant na kitimoto nusu na marosoro ya mnafu
Zitafika day 365 mkuu
Dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Amen
Kwani we uliamini?Dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Sina mbavu nikiona hizi comments[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Eh mmefikisha siku ngapi??
Fisher una siku ngapi sasa rafiki yangu?
Mama lao sijawaacha nipo napambana nazoo....[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji481][emoji481][emoji481]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
EeeehAisee.. ndiyo nimeingia chamani..[emoji3]
Hangover tu hizo mzeebabaMbaya Sana hii
Ndiyo ndiyoπEeeeh
Sasa itakuaje?Ndiyo ndiyo[emoji23]
Nakaribia πSasa itakuaje?
Wkend hii karibu chupa kadhaa
Yesu wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani we uliamini?
Kumbe ningeendelea kuacha ungekuta nakaribia kupata mchumba jmn.....sijui nakwama wap[emoji16]Yesu wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi niliamini.
Ngoja nisubiri na mwenzio alete mrejesho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Kumbe ningeendelea kuacha ungekuta nakaribia kupata mchumba jmn.....sijui nakwama wap[emoji16]
Mungu ni mkubwa Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi naona nimefanikiwa...42 days bila bila
Mungu ni mkubwa Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Malizia hizo zilizobaki 20 ili nitimize ahadi yangu ya kutembea kwa mguu.
Mbeya hadi Moro [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jiandae [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]