Natangaza kuacha pombe rasmi 2021

Ooh Glory to God! Safi sana mkuu kama kweli, it's a month now, how do you see yourself ? Ni kweli umepumzika ama ulituandikia tu humu??[emoji3]
Sio kweli mamiii... niliandika uzi huu nikiwa nimelewa sana, sijaacha na sina mpango wa kuacha pombe abadan[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio leo sio kesho au mwakani
 
Sio kweli mamiii... niliandika uzi huu nikiwa nimelewa sana, sijaacha na sina mpango wa kuacha pombe abadan[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio leo sio kesho au mwakani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sio kweli mamiii... niliandika uzi huu nikiwa nimelewa sana, sijaacha na sina mpango wa kuacha pombe abadan[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio leo sio kesho au mwakani
Jinga sana wewe na akili zako za mipombeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ hapa nilikua namshukuru Mungu kwa ajili yako amekubadilisha kumbe hamna kitu!😁😁
 
Kwa hiyo akili yako, unaweza ukawa unaniacha ndani unaenda kwa babe wako pombe wewe [emoji3][emoji3]
Tutanywea ndaniii bebee.... walau hata miaka mitano ndio ndoa tunaichoka choka hapo ndio naweza rudi kwenye game rasmi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…