[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliandika hii thread nikiwa nimelewa... sijachaa ni ulevi tu wakuu
Sio kweli mamiii... niliandika uzi huu nikiwa nimelewa sana, sijaacha na sina mpango wa kuacha pombe abadan[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio leo sio kesho au mwakaniOoh Glory to God! Safi sana mkuu kama kweli, it's a month now, how do you see yourself ? Ni kweli umepumzika ama ulituandikia tu humu??[emoji3]
Bidada wa twiraaaa....leo umerudi nyumbani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio kweli mamiii... niliandika uzi huu nikiwa nimelewa sana, sijaacha na sina mpango wa kuacha pombe abadan[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio leo sio kesho au mwakani
Jinga sana wewe na akili zako za mipombeππππ hapa nilikua namshukuru Mungu kwa ajili yako amekubadilisha kumbe hamna kitu!ππSio kweli mamiii... niliandika uzi huu nikiwa nimelewa sana, sijaacha na sina mpango wa kuacha pombe abadan[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio leo sio kesho au mwakani
Bidada wa twiraaaa....leo umerudi nyumbani
Nikubalie nibadilikee[emoji1787][emoji1787]Jinga sana wewe na akili zako za mipombe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hapa nilikua namshukuru Mungu kwa ajili yako amekubadilisha kumbe hamna kitu![emoji16][emoji16]
Kha kwahiyo mimi ndiyo mbadala wa mipombe yako?! Unanifananisha na hiyo Vodka eehπ¬π¬Nikubalie nibadilikee[emoji1787][emoji1787]
Si wanasema mtu ukiwa mapenzini hii mipombe unaisahauKha kwahiyo mimi ndiyo mbadala wa mipombe yako?! Unanifananisha na hiyo Vodka eeh[emoji51][emoji51]
Kwa hiyo akili yako, unaweza ukawa unaniacha ndani unaenda kwa babe wako pombe wewe ππSi wanasema mtu ukiwa mapenzini hii mipombe unaisahau
Happy valentine mamiii
Tutanywea ndaniii bebee.... walau hata miaka mitano ndio ndoa tunaichoka choka hapo ndio naweza rudi kwenye game rasmi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo akili yako, unaweza ukawa unaniacha ndani unaenda kwa babe wako pombe wewe [emoji3][emoji3]