Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliandika hii thread nikiwa nimelewa... sijachaa ni ulevi tu wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliandika hii thread nikiwa nimelewa... sijachaa ni ulevi tu wakuu
Sio kweli mamiii... niliandika uzi huu nikiwa nimelewa sana, sijaacha na sina mpango wa kuacha pombe abadan[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio leo sio kesho au mwakaniOoh Glory to God! Safi sana mkuu kama kweli, it's a month now, how do you see yourself ? Ni kweli umepumzika ama ulituandikia tu humu??[emoji3]
Bidada wa twiraaaa....leo umerudi nyumbani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio kweli mamiii... niliandika uzi huu nikiwa nimelewa sana, sijaacha na sina mpango wa kuacha pombe abadan[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio leo sio kesho au mwakani
Jinga sana wewe na akili zako za mipombe😀😀😀😀 hapa nilikua namshukuru Mungu kwa ajili yako amekubadilisha kumbe hamna kitu!😁😁Sio kweli mamiii... niliandika uzi huu nikiwa nimelewa sana, sijaacha na sina mpango wa kuacha pombe abadan[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio leo sio kesho au mwakani
Bidada wa twiraaaa....leo umerudi nyumbani
Nikubalie nibadilikee[emoji1787][emoji1787]Jinga sana wewe na akili zako za mipombe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hapa nilikua namshukuru Mungu kwa ajili yako amekubadilisha kumbe hamna kitu![emoji16][emoji16]
Kha kwahiyo mimi ndiyo mbadala wa mipombe yako?! Unanifananisha na hiyo Vodka eeh😬😬Nikubalie nibadilikee[emoji1787][emoji1787]
Si wanasema mtu ukiwa mapenzini hii mipombe unaisahauKha kwahiyo mimi ndiyo mbadala wa mipombe yako?! Unanifananisha na hiyo Vodka eeh[emoji51][emoji51]
Kwa hiyo akili yako, unaweza ukawa unaniacha ndani unaenda kwa babe wako pombe wewe 😀😀Si wanasema mtu ukiwa mapenzini hii mipombe unaisahau
Happy valentine mamiii
Tutanywea ndaniii bebee.... walau hata miaka mitano ndio ndoa tunaichoka choka hapo ndio naweza rudi kwenye game rasmi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo akili yako, unaweza ukawa unaniacha ndani unaenda kwa babe wako pombe wewe [emoji3][emoji3]