Natangaza kuiunga mkono CHADEMA katika maisha yangu yote yaliyosalia hapa duniani, Mungu nisaidie

Natangaza kuiunga mkono CHADEMA katika maisha yangu yote yaliyosalia hapa duniani, Mungu nisaidie

Tajiri gani wewe wakati wote tunajua ni kijana wa Mbowe unae tumika katika shughuli za propaganda mitandaoni.
 
Kamanda labda hujaelewa. Maana yake ni kwamba mnachofanya ni usanii tu. Huyo kwenye hiyo video alidai kumzomea Lowassa kuwa ni fisadi ni neema kwa Mungu. Mtu huyo huyo amegeuka na kuja kumtakasa aliyemuita fisadi na bahati mbaya zaidi wakati yeye anagoma kula chakula huko mahabusu Lowassa alikuwa anfyonza mvinyo baridi na swahiba zake wa CCM.

Inahitaji uwe na ubongo wa panzi kushabikia CHADEMA.



Mkuu tatizo lako umevurugwa pole sana unaishia kuandika majungutu
 
Vipi mkuu bado una imani na CHADEMA na UKUTA?
Chadema ni chama cha kisasa chenye mbinu murua , bila polisi hakuna ccm , wewe mwenyewe ni shahidi , makamanda wa polisi wakistaafu hukimbilia ccm kugombea ubunge , kwa vile ni wanachama kitaaambo.
 
Utajiri sio pesa huyu ni great thinker hana akili za remote kama wale vijana vichwa panzi au vichwa kuku, hakuna vijana wajinga chadema wote ni matajiri wa akili na kutafakari mambo kwa mapana
 
Chadema ni chama cha kisasa chenye mbinu murua , bila polisi hakuna ccm , wewe mwenyewe ni shahidi , makamanda wa polisi wakistaafu hukimbilia ccm kugombea ubunge , kwa vile ni wanachama kitaaambo.

Dj kabadili CD katikati ya disco makamanda mnaruka na kukanyagana😀😀😀
 
Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .

Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .

Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.

Mungu ibariki Chadema .
Mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri hawezi kuwa mpenzi wa Chadema
 
Naamini bila Chadema na UKAWA kwa ujumla nchi hii ingekuwa Jehanamu. Mawazo, dira, sera na miongozo yote muhimu inatoka Chadema/UKAWA. Ni kipi hasa kwa miaka kumi na ushee ya hivi karibuni kimetokana na sera na mipango ya CCM?
 
Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .

Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .

Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.

Mungu ibariki Chadema .
Weka akiba ya maneno.
 
Back
Top Bottom