Natangaza kuiunga mkono CHADEMA katika maisha yangu yote yaliyosalia hapa duniani, Mungu nisaidie

Natangaza kuiunga mkono CHADEMA katika maisha yangu yote yaliyosalia hapa duniani, Mungu nisaidie

Umesema mwenye kipato cha juu ( utajiri) sasa unakana tena maandishi yako?
Mwenye kipato cha juu ni mimi , huyo unamsingizia tu , vijana wa kitanzania acheni uoga , kama Mungu amekupa mali utamficha binadamu mwenzio ili iweje ?
 
"Vipesa vya madafu"

Hivyo hivyo vipesa vinatosha kabisa kukufanya tajiri hapa tz. Muda wa mtu anaamua mwenyewe autumieje, yeye na utajiri wake aneamua kuwa JF, tatizo liko wapi? Anakukera? Basi post zake usisome wewe pita tu kama vile hujaziona!
Kwahiyo tajiri amekutuma umsemee?
 
Tajiri we Bakheresa au Mo, au ushakunwa ishu haziendi sahizi? maana waliozoea mikato wote wanakimbilia kwa Mbowe
 
Mwanachama Tajiri..Anza kwa kujenga ofisi ya chama, watakushukuru sana na kukukumbuka pia. Ila hakikisha unasimamia ujenzi mwenyewe.
 
Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .

Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .

Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.

Mungu ibariki Chadema .
You're not alone, Tupo pamoja katika kupigania na kutetea haki na usawa za mtanzania.

You will never walk alone. Aluta continua.
 
Mkuu karibu sana. ....sioni bila chadema ntaenda wapi? Ccm hapana labda ashuke Yesu Kristu ndo awe mwenyekiti wake..... akiwa mwanachama tu bado sintawaamini.....
Hata akishuka yesu Kristo wanaweza wakamwambukiza chuki, uhasama, fitina, ufisadi, dhuluma, udikteta uchwara, Umaskini, maradhi, ujinga nk.

Saa ya ukombozi ni sasa.
 
Nani anakujua we tajiri?
Tangia hapo ulikuwa chadema,kafie hukohuko na utajiri wako uchwara.
Yeye ana maisha bora sana kuliko wewe unayetengemea maisha bora na ahadi uchwara kutoka kwa dikteta uchwara.


Kafe na umaskini, ujinga na upumbavu wako uchwara.
 
Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .

Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .

Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.

Mungu ibariki Chadema .
Tuko pamoja mkuuu
 
Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .

Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .

Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.

Mungu ibariki Chadema .
Kwa biashara gani, au za kurithi nayo unatambia hapa ulivyo akili finyu sidhani kama una uwezo wa kufikiri uibue miradi mipya.

Unaapa kwa ajili ya chama siasa, huo unafiki mwisho wake mbaya sana pia naona hicho chama ikulu wataiangalia kwenye TV tu maana JK at least alikuwa anawaalika kunywa juice sasa kwa JPM mambo yamechange na muda si mrefu naona kama itabaki tu historia kuwa kuna chama kiliitwa chadema
 
Kijana tajiri ungesema sababu zilizopelekea wewe kujiunga milele, Nasisi zingeweza kutushawishi.
 
Kwa biashara gani, au za kurithi nayo unatambia hapa ulivyo akili finyu sidhani kama una uwezo wa kufikiri uibue miradi mipya.

Unaapa kwa ajili ya chama siasa, huo unafiki mwisho wake mbaya sana pia naona hicho chama ikulu wataiangalia kwenye TV tu maana JK at least alikuwa anawaalika kunywa juice sasa kwa JPM mambo yamechange na muda si mrefu naona kama itabaki tu historia kuwa kuna chama kiliitwa chadema
 
Ha aha ahaaaaa... Ngoja waje wakufurushe na kukuita msaliti siku moja ndo utaijua rangi halisi ya chadema! Muulize Zitto aliapa kwa viapo vyote lkn alifukuzwa kama mbwa!

Ila kama unaapa kuwa mtiifu kwa kila agizo la Ufipa "you're safe"
 
Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .

Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .

Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.

Mungu ibariki Chadema .
Hata ZZK alisema atafia chadema ila mwisho wa siku wewe unajua alivyoshangilia Tundu lisu siku ZZK kashindwa ile kesi pale mahamakani na hatimaye ALIFUKUZWA CHADEMA. Hivyo acha kuropoka vitu usivyovijua!
 
Ndo katiba inavyotaka na kila raia anao uhuru wa kutoa mawazo yake pasipo vunja sheria za nchi. Uamuzi wako utaendelea kuwa wako, na Imani yako daima itakuponya milele na milele.
 
Back
Top Bottom