Hongera sina chama ila naipenda chadema sana mambo mengi yamefumbuliwa na chademaYeah ! Ni kwamba sikuchukua uamuzi huu kwa kununuliwa , maana ninao uwezo wa kujikimu ,
Pia ikumbukwe kuwa hii si mara yangu ya kwanza kuwa chadema , bali sasa nimeamua kuwa chadema milele .
Mkuu unajua kusoma na kuandika ?Tajiri gani wewe wakati wote tunajua ni kijana wa Mbowe unae tumika katika shughuli za propaganda mitandaoni.
Wana ccm hawaachiani maji mezani - kikwete .Nakuunga mkono
Kamanda labda hujaelewa. Maana yake ni kwamba mnachofanya ni usanii tu. Huyo kwenye hiyo video alidai kumzomea Lowassa kuwa ni fisadi ni neema kwa Mungu. Mtu huyo huyo amegeuka na kuja kumtakasa aliyemuita fisadi na bahati mbaya zaidi wakati yeye anagoma kula chakula huko mahabusu Lowassa alikuwa anfyonza mvinyo baridi na swahiba zake wa CCM.
Inahitaji uwe na ubongo wa panzi kushabikia CHADEMA.
Mkuu tatizo lako umevurugwa pole sana unaishia kuandika majungutu
Chadema ni chama cha kisasa chenye mbinu murua , bila polisi hakuna ccm , wewe mwenyewe ni shahidi , makamanda wa polisi wakistaafu hukimbilia ccm kugombea ubunge , kwa vile ni wanachama kitaaambo.Vipi mkuu bado una imani na CHADEMA na UKUTA?
Chadema ni chama cha kisasa chenye mbinu murua , bila polisi hakuna ccm , wewe mwenyewe ni shahidi , makamanda wa polisi wakistaafu hukimbilia ccm kugombea ubunge , kwa vile ni wanachama kitaaambo.
Mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri hawezi kuwa mpenzi wa ChademaMimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .
Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .
Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mungu ibariki Chadema .
Lubuva akisoma hii atakushangaa sana !Mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri hawezi kuwa mpenzi wa Chadema
Vipi mkuu bado una imani na CHADEMA na UKUTA?
Weka akiba ya maneno.Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .
Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .
Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mungu ibariki Chadema .
Sana Nina imani kwa sababu ccm ni ileile mku hata mapato ya badari yanazidi kupungua mkuu pole San kama una imani na fisiem?
Haya .Weka akiba ya maneno.
Naona Tz ya viwanda inaanza kuonekana hahahhaha sijui vingapi vimejengwa viwanda mpaka sasaVijana wa Kaka Aikael katika ubora wenu