Natangaza kuiunga mkono CHADEMA katika maisha yangu yote yaliyosalia hapa duniani, Mungu nisaidie

Natangaza kuiunga mkono CHADEMA katika maisha yangu yote yaliyosalia hapa duniani, Mungu nisaidie

Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .

Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .

Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.

Mungu ibariki Chadema .
Labda kama utakuwahi hadi hadi 2055 ndio utashuhudia CDM ikienda IKULU ( kama isipokufa kabla ya 2020).
 
Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .

Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .

Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.

Mungu ibariki Chadema .

Kijana tajiri, kua kwenye chama cha wapiga dili na wakwepa kodi..

Hakuna cha ajabu hapo, ni kama mshale kurudi porini...

Teh teh teh...
 
Kijana tajiri, kua kwenye chama cha wapiga dili na wakwepa kodi..

Hakuna cha ajabu hapo, ni kama mshale kurudi porini...

Teh teh teh...
Nakubaliana nawe hiki chama cha wanywa viroba na wasiokua na upeo. Utamnyang'anyaje duka aliyejenga tena mzee na kummilikisha kada wa chadema tena wa miaka 25 kwa nini asijenge lakwake. Hakika Chadema 2020 no ndoto.
 
Hongera mkuu kwa kiapo murua kabisa. Nadhani Jingalao, Muda wote na Lizaboni watakapopata ufahamu watakutafuta uwape somo.
 
Nakubaliana nawe hiki chama cha wanywa viroba na wasiokua na upeo. Utamnyang'anyaje duka aliyejenga tena mzee na kummilikisha kada wa chadema tena wa miaka 25 kwa nini asijenge lakwake. Hakika Chadema 2020 no ndoto.
Umetia aibu ya bure sana !
 
Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .

Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .

Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.

Mungu ibariki Chadema .

Umefanya uamuzi Wa busara, Ila uwakumbushe nduguzo kuacha ziada za matukio.

Tunahitaji sera, sio mihemko kama mafua ya kipindi cha baridi.
 
Umefanya uamuzi Wa busara, Ila uwakumbushe nduguzo kuacha ziada za matukio.

Tunahitaji sera, sio mihemko kama mafua ya kipindi cha baridi.
Kumbuka kwamba mipango ya chadema ndio inayoongoza nchi hii .
 
Karibu sana sisi tulikuja na Lowassa lakini ofisi zetu zipo Masaki kwa sasa siyo Ufipa.
 
Back
Top Bottom