Natangaza kumuunga mkono Ndugai. Ametimiza wajibu wake

Natangaza kumuunga mkono Ndugai. Ametimiza wajibu wake

Mkuu watu wengi si wepesi kuchangia maendeleo… JPM alivyokuwa anawabana wenye nazo ilikuchangia maendeleo walisema ni jambazi dikteta…kubana matumizi kwetu ni maumivu hicho kitu sio rafiki kwenye masikio ya watu…vita kubwa tena..basi tuchape kazi maneno na vitendo haviendani…fukuza machinga, mfumuko wa bei kila kona kwenye mbolea, sijui nini ilimradi vurumai…

Basi tusubirie labda siku akili zitatukaa sana maana siku hizi common sense is rare

Personally nakubali, waibe, wabane, maneno ya shombo waongoze, mikopo hadi, tushindwe kulipa mishahara. Tutunze kumbukumbu. Baadaye wawajibishwe, tukishaondoa kinga kwa Watanzania,viongozi wote, including Rais.

Akili zitatukaa sawa.
 
Tatizo kila kukicha sherehe ikulu mara kuongea na wachungaji na mashehe, mara akinamama, kusaini mikataba kuapisha watu kibao, na posho zinatembea kila function, na si kidogo, sasa mikopo kopeni ila ya uzalishaji, si kujenga shule, zahanati, madawati, hivyo mtumie tozo, na mlisema lengo la tozo kuimarisha huduma za kijamii!
 
Ni kwa nini ang'ang'ane kufanya kazi na vilaza?
Halafu mtu mwenye weledi kumsoma kilaza inachukua muda mfupi sana,
Maana maongezi,mipango na vipaumbele vyake vitakupa majibu kuwa huyo ni mtu wa aina gani

Sababu ni Kiongozi mpya, hakuwa, tayari, hakutayarishwa kuongoza nchi.

Elimu, uwezo wake ni mdogo sana kuchambua mambo ya kiuchumi, mikopo, kitaifa Kuwasoma binadamu , Watanzania wenzake.

Lakini yupo vizuri sana kusimamia maslahi ya Zanzibar.
,
Elimu zao wengi ni za kuungaunga, kununua vyeti, kuhonga.
 
Leo kulikuwa na mjadala ZOOM wa kujadili usimamizi wa miradi, ila kilichoongelewa na baadhi ya wasomi ni majanga matupu, yaani kwa ufupi nchi hii haina wasomi, yaani hao Ma Dr na Ma Professor yaani ni wanafiki na waongo waongo wanaongea kwa lengo eti la kumfurahisha rais tu. Yaani mtu badala aongelee namna bora ya usimamizi wa miradi ili tuweze kulipa madeni eti professor zima au Dr zima linajikita kusema eti deni ni zuri sasa nani hajui??? Yaani kuna Professor mmoja wa UDSM anaitwa Semboje yaani huyo eti ni nguli wa uchumi ila alichomalizia ndiyo kaniacha hoi, eti ana mkandia Ndugai kwa vijembe. In short hii nchi inahitaji ukombozi wetu sisi vijana, hawa wazee hawana maana kabisa, maana wao wanawaza pensio zao tu.
Wasomi wetu wanawinda teuzi tu basi
 
Kwani Ndugai ni spika kuanzia leo?.... mbona huo wajibu wake hakuutimiza jana na juzi?
 
Ayubu hana moral authority ya kusema anayosema wakati huu
Nakubaliana na suala la moral authority. Lakini saa hata iwe mbovu vipi Kuna wakati husema kweli so Usihikumu hata inaposema kweli.
 
Ndugai anawasemea wananchi, serikali inatakiwa iwajibu wananchi na siyo kumshambilia msemaji wao...
 

Mimi kama Mtanzania natangaza Kumuunga kauli ya Ndugai. Kwa mambo yafuatayo.

1. Lazima tujitathimi tunataka kukopa kwa nini? Deni linapozidi kukua ni lazima bunge na spika wakemee Hilo.
Mjooni na matusi. Na Kila kitu. Ila Ndugai katimiza wajibu wae.
Ndugai ni Kiongozi wa Mhilili kati ya ile mi3 kwanini akasemee pembeni
Miradi km Daraja la Busisi linalovuka na kuishia kwa wakwe zake Mwendazake ni lazima liishe hata kwa mikopo, sasa Ndugai anataka nazo akapige, Miradi ya Mabasi yanatokwenda Dar Rombo, Dar Mwanza nk na Maghorofa ya Hosteli za Vyuo havimtoshi ?
unadhani hela alizopiga India kutibiwa mafua ndio atazipata kwa Mama tena?
 
Ndugai ni baadhi ya viongozi waliofanikisha Magufuli kutawala nchi hii kwa uovu mkubwa. Tunamshukuru Mungu kwa kuendelea kuonyesha uwepo wake kwa waovu hawa. Na haya hayaitaishia hapa, bali kila aliyeshiriki uovu ule wa Magu atafikiwa kwa wakati wake.
 
Sababu ni Kiongozi mpya, hakuwa, tayari, hakutayarishwa kuongoza nchi.

Elimu, uwezo wake ni mdogo sana kuchambua mambo ya kiuchumi, mikopo, kitaifa Kuwasoma binadamu , Watanzania wenzake.

Lakini yupo vizuri sana kusimamia maslahi ya Zanzibar.
,
Elimu zao wengi ni za kuungaunga, kununua vyeti, kuhonga.

Ni kweli kabisa usemayo, lakini bora huyu kuliko dhalimu Magu.
 
Back
Top Bottom