Natangaza kumuunga mkono Ndugai. Ametimiza wajibu wake


Personally nakubali, waibe, wabane, maneno ya shombo waongoze, mikopo hadi, tushindwe kulipa mishahara. Tutunze kumbukumbu. Baadaye wawajibishwe, tukishaondoa kinga kwa Watanzania,viongozi wote, including Rais.

Akili zitatukaa sawa.
 
Tatizo kila kukicha sherehe ikulu mara kuongea na wachungaji na mashehe, mara akinamama, kusaini mikataba kuapisha watu kibao, na posho zinatembea kila function, na si kidogo, sasa mikopo kopeni ila ya uzalishaji, si kujenga shule, zahanati, madawati, hivyo mtumie tozo, na mlisema lengo la tozo kuimarisha huduma za kijamii!
 
Ni kwa nini ang'ang'ane kufanya kazi na vilaza?
Halafu mtu mwenye weledi kumsoma kilaza inachukua muda mfupi sana,
Maana maongezi,mipango na vipaumbele vyake vitakupa majibu kuwa huyo ni mtu wa aina gani

Sababu ni Kiongozi mpya, hakuwa, tayari, hakutayarishwa kuongoza nchi.

Elimu, uwezo wake ni mdogo sana kuchambua mambo ya kiuchumi, mikopo, kitaifa Kuwasoma binadamu , Watanzania wenzake.

Lakini yupo vizuri sana kusimamia maslahi ya Zanzibar.
,
Elimu zao wengi ni za kuungaunga, kununua vyeti, kuhonga.
 
Wasomi wetu wanawinda teuzi tu basi
 
Kwani Ndugai ni spika kuanzia leo?.... mbona huo wajibu wake hakuutimiza jana na juzi?
 
Ayubu hana moral authority ya kusema anayosema wakati huu
Nakubaliana na suala la moral authority. Lakini saa hata iwe mbovu vipi Kuna wakati husema kweli so Usihikumu hata inaposema kweli.
 
Ndugai anawasemea wananchi, serikali inatakiwa iwajibu wananchi na siyo kumshambilia msemaji wao...
 
Ndugai ni Kiongozi wa Mhilili kati ya ile mi3 kwanini akasemee pembeni
Miradi km Daraja la Busisi linalovuka na kuishia kwa wakwe zake Mwendazake ni lazima liishe hata kwa mikopo, sasa Ndugai anataka nazo akapige, Miradi ya Mabasi yanatokwenda Dar Rombo, Dar Mwanza nk na Maghorofa ya Hosteli za Vyuo havimtoshi ?
unadhani hela alizopiga India kutibiwa mafua ndio atazipata kwa Mama tena?
Your browser is not able to display this video.
 
Ndugai ni baadhi ya viongozi waliofanikisha Magufuli kutawala nchi hii kwa uovu mkubwa. Tunamshukuru Mungu kwa kuendelea kuonyesha uwepo wake kwa waovu hawa. Na haya hayaitaishia hapa, bali kila aliyeshiriki uovu ule wa Magu atafikiwa kwa wakati wake.
 

Ni kweli kabisa usemayo, lakini bora huyu kuliko dhalimu Magu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…