Natangaza maamdamano ya amani kwa sisi vijana ambao hatuna mwelekeo baada ya kuhitimu vyuo. Tukutane kesho Posta

Natangaza maamdamano ya amani kwa sisi vijana ambao hatuna mwelekeo baada ya kuhitimu vyuo. Tukutane kesho Posta

uzuri mamluki wote mnajulikana humu. Kama ndio wamekutuma ili uanze umechemsha. Naona kuna trend ya mamluki kuanza kumpinga mama ili kukamata wanaopiga spana Mmechelewa!.
Umejoin 2024! Sishangai maana umejibu kwa hisia na miemko. Wakongwe wa JF wanajulikana kabisa.
 
WAJIBU WA KUJIKOMBOA SISI VIJANA, TUTAPATA SISI WENYEWE KTK HARAKATI ZA MAPAMBANO YA KUJIOKOA WENYEWE

Kukazaliwa kwa taifa jipya chini ya moto wa mageuzi wa vijana eeh Mungu tutie ujasiri

Ila inabidi vijana kuongoza harakati hizo, kama waasisi vijana walivyoweza kumuondoa mkoloni Tanganyika 1961

TOKA MAKTABA : Maneno mazito ya vijana miaka ya wazazi wetu wakiwa na mawazo pia fikra huru, sikiza ujumbe wao kuhusu Kufaulu / Kufikia Ndoto / Success:

Kufaulu (Success) - Patrick Ballisidya & Orch. Afro. 70 Band (1973)


View: https://m.youtube.com/watch?v=CusrvwChw3g&pp=ygUOQWZybyA3MCBBZnJpa2E%3D
 
Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani wajiuzuru.

Haiwezeknani ajira hakuna, hata za ualimu au udaktari na zikitilewa ni kujuana kwa kwenda mbele. Isitoshe biashara nazo zimekiwa ngumu sana.

Sector binafsi kama humjui mtu hupati ajira kabisa. Wapo radhi waajiri mtu dhaifu hajui kitu wala hana vyeti ili mradi ana ndugu kwenye kampuni husika.

Mfano katika kada ya uandishi au utangazaji wa habari, ni kujuana kwa kwenda mbele na hili limethibitishwa na Baruani Muhuza leo. Kwamba mnaanza kumuajiri mtu hana vyeti wala elimu yoyote atajiendeleza humohumo akiwa na ajira. Azam wamemuajiri Salama Ngale hana hata Diploma wala cheti, ndio anasoma sasa hivi wakati tayari kaajiriwa.

Kuna akina Masanaja, Zembwela, Oscar wote wote ni zero brains lakini wamekula shavu.

Tukutane kesho plz.
Sipingi mawazo yako, unahoja usikilizwe. Ninaimani kunavijana wengi wenye mawazo kama yako.

Lakini nataka nikushauri kitu. Hakikisha unavuta watu kwanza ambao wana the some interest kama wewe.

Kisha mnatakiwa kuja na hoja makini na demand zenu.

Hizo demand na hoja zenu mnatakiwa kuzispread tanzania nzima, uzuri mitandao imerahisisha.

Kama mkifanikiwa kuanzisha maandamano, mjitahidi sana msiharibu mali za Umma maana zimesimama hapo kwa kodi zetu so kuzihujumu ni kujihujumu sisi.

Cha kumalizia, Vuna kwanza audience then tangaza tarehe ya kuandamana. Utafanikiwa na mungu akutangulie.
 
Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani wajiuzuru.

Haiwezeknani ajira hakuna, hata za ualimu au udaktari na zikitilewa ni kujuana kwa kwenda mbele. Isitoshe biashara nazo zimekiwa ngumu sana.

Sector binafsi kama humjui mtu hupati ajira kabisa. Wapo radhi waajiri mtu dhaifu hajui kitu wala hana vyeti ili mradi ana ndugu kwenye kampuni husika.

Mfano katika kada ya uandishi au utangazaji wa habari, ni kujuana kwa kwenda mbele na hili limethibitishwa na Baruani Muhuza leo. Kwamba mnaanza kumuajiri mtu hana vyeti wala elimu yoyote atajiendeleza humohumo akiwa na ajira. Azam wamemuajiri Salama Ngale hana hata Diploma wala cheti, ndio anasoma sasa hivi wakati tayari kaajiriwa.

Kuna akina Masanaja, Zembwela, Oscar wote wote ni zero brains lakini wamekula shavu.

Tukutane kesho plz.
Unataka nani akupe muelekeo? 😂😂
 
Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani wajiuzuru.

Haiwezeknani ajira hakuna, hata za ualimu au udaktari na zikitilewa ni kujuana kwa kwenda mbele. Isitoshe biashara nazo zimekiwa ngumu sana.

Sector binafsi kama humjui mtu hupati ajira kabisa. Wapo radhi waajiri mtu dhaifu hajui kitu wala hana vyeti ili mradi ana ndugu kwenye kampuni husika.

Mfano katika kada ya uandishi au utangazaji wa habari, ni kujuana kwa kwenda mbele na hili limethibitishwa na Baruani Muhuza leo. Kwamba mnaanza kumuajiri mtu hana vyeti wala elimu yoyote atajiendeleza humohumo akiwa na ajira. Azam wamemuajiri Salama Ngale hana hata Diploma wala cheti, ndio anasoma sasa hivi wakati tayari kaajiriwa.

Kuna akina Masanaja, Zembwela, Oscar wote wote ni zero brains lakini wamekula shavu.

Tukutane kesho plz.
Oscar bachelor & masters udsm unamtaja zero brain?
 
Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani wajiuzuru.

Haiwezeknani ajira hakuna, hata za ualimu au udaktari na zikitilewa ni kujuana kwa kwenda mbele. Isitoshe biashara nazo zimekiwa ngumu sana.

Sector binafsi kama humjui mtu hupati ajira kabisa. Wapo radhi waajiri mtu dhaifu hajui kitu wala hana vyeti ili mradi ana ndugu kwenye kampuni husika.

Mfano katika kada ya uandishi au utangazaji wa habari, ni kujuana kwa kwenda mbele na hili limethibitishwa na Baruani Muhuza leo. Kwamba mnaanza kumuajiri mtu hana vyeti wala elimu yoyote atajiendeleza humohumo akiwa na ajira. Azam wamemuajiri Salama Ngale hana hata Diploma wala cheti, ndio anasoma sasa hivi wakati tayari kaajiriwa.

Kuna akina Masanaja, Zembwela, Oscar wote wote ni zero brains lakini wamekula shavu.

Tukutane kesho plz.
unayatangaza ukiwa umelala?
 
Naunga mkono
Chachage alishawahi kusema. Ukimkuta mwanafunzi wa chuo kikiuu anasoma miaka mitatu/mine bila kugoma. Kuna mambo mawili huwa yanatokea. Aidha haelewi au ana kariri anachofundishwa. Mm niligoma na kuandamana nikiwa chuo. Hawa wanagoma wakiwa chuo?
 
Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani wajiuzuru.

Haiwezeknani ajira hakuna, hata za ualimu au udaktari na zikitilewa ni kujuana kwa kwenda mbele. Isitoshe biashara nazo zimekiwa ngumu sana.

Sector binafsi kama humjui mtu hupati ajira kabisa. Wapo radhi waajiri mtu dhaifu hajui kitu wala hana vyeti ili mradi ana ndugu kwenye kampuni husika.

Mfano katika kada ya uandishi au utangazaji wa habari, ni kujuana kwa kwenda mbele na hili limethibitishwa na Baruani Muhuza leo. Kwamba mnaanza kumuajiri mtu hana vyeti wala elimu yoyote atajiendeleza humohumo akiwa na ajira. Azam wamemuajiri Salama Ngale hana hata Diploma wala cheti, ndio anasoma sasa hivi wakati tayari kaajiriwa.

Kuna akina Masanaja, Zembwela, Oscar wote wote ni zero brains lakini wamekula shavu.

Tukutane kesho plz.
Siwezi kucha ugali wangu nikakusanyike sijuwi wapi. Kila siku ajira zinatolewa na watu wanaajiriwa wewe una vyetu feki nakuja kulalama hapa.
 
Nitakuwepo,nita vaa shati la kijani na suruali nyeusi.
 
Back
Top Bottom