GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Posta maeneo gn.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejoin 2024! Sishangai maana umejibu kwa hisia na miemko. Wakongwe wa JF wanajulikana kabisa.uzuri mamluki wote mnajulikana humu. Kama ndio wamekutuma ili uanze umechemsha. Naona kuna trend ya mamluki kuanza kumpinga mama ili kukamata wanaopiga spana Mmechelewa!.
Ndani ya masanduku ya barua labdaPosta maeneo gn.?
Sipingi mawazo yako, unahoja usikilizwe. Ninaimani kunavijana wengi wenye mawazo kama yako.Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani wajiuzuru.
Haiwezeknani ajira hakuna, hata za ualimu au udaktari na zikitilewa ni kujuana kwa kwenda mbele. Isitoshe biashara nazo zimekiwa ngumu sana.
Sector binafsi kama humjui mtu hupati ajira kabisa. Wapo radhi waajiri mtu dhaifu hajui kitu wala hana vyeti ili mradi ana ndugu kwenye kampuni husika.
Mfano katika kada ya uandishi au utangazaji wa habari, ni kujuana kwa kwenda mbele na hili limethibitishwa na Baruani Muhuza leo. Kwamba mnaanza kumuajiri mtu hana vyeti wala elimu yoyote atajiendeleza humohumo akiwa na ajira. Azam wamemuajiri Salama Ngale hana hata Diploma wala cheti, ndio anasoma sasa hivi wakati tayari kaajiriwa.
Kuna akina Masanaja, Zembwela, Oscar wote wote ni zero brains lakini wamekula shavu.
Tukutane kesho plz.
Nani mwenye jukumu la kuhakikisha hiyo "amani". Kwa lugha nyingine nani anaweza ondoa hiyo "amani"Maandamano yawe ya AMANI nitawaunga Mkono.
Ni JUKUMU letu SOTE.Nani mwenye jukumu la kuhakikisha hiyo "amani". Kwa lugha nyingine nani anaweza ondoa hiyo "amani"
Unataka nani akupe muelekeo? 😂😂Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani wajiuzuru.
Haiwezeknani ajira hakuna, hata za ualimu au udaktari na zikitilewa ni kujuana kwa kwenda mbele. Isitoshe biashara nazo zimekiwa ngumu sana.
Sector binafsi kama humjui mtu hupati ajira kabisa. Wapo radhi waajiri mtu dhaifu hajui kitu wala hana vyeti ili mradi ana ndugu kwenye kampuni husika.
Mfano katika kada ya uandishi au utangazaji wa habari, ni kujuana kwa kwenda mbele na hili limethibitishwa na Baruani Muhuza leo. Kwamba mnaanza kumuajiri mtu hana vyeti wala elimu yoyote atajiendeleza humohumo akiwa na ajira. Azam wamemuajiri Salama Ngale hana hata Diploma wala cheti, ndio anasoma sasa hivi wakati tayari kaajiriwa.
Kuna akina Masanaja, Zembwela, Oscar wote wote ni zero brains lakini wamekula shavu.
Tukutane kesho plz.
Ukweli mtamu🤸♂️🤸♂️🤸♂️Unaongea na chawa watakuelewa kweli?
Haya mambo nyie waachieni wenzenu wa Kenya tu.
Nyie endeleeni kutulia dawa iwaingie vizuri w.apu.mba..vu nyie.
Oscar bachelor & masters udsm unamtaja zero brain?Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani wajiuzuru.
Haiwezeknani ajira hakuna, hata za ualimu au udaktari na zikitilewa ni kujuana kwa kwenda mbele. Isitoshe biashara nazo zimekiwa ngumu sana.
Sector binafsi kama humjui mtu hupati ajira kabisa. Wapo radhi waajiri mtu dhaifu hajui kitu wala hana vyeti ili mradi ana ndugu kwenye kampuni husika.
Mfano katika kada ya uandishi au utangazaji wa habari, ni kujuana kwa kwenda mbele na hili limethibitishwa na Baruani Muhuza leo. Kwamba mnaanza kumuajiri mtu hana vyeti wala elimu yoyote atajiendeleza humohumo akiwa na ajira. Azam wamemuajiri Salama Ngale hana hata Diploma wala cheti, ndio anasoma sasa hivi wakati tayari kaajiriwa.
Kuna akina Masanaja, Zembwela, Oscar wote wote ni zero brains lakini wamekula shavu.
Tukutane kesho plz.
unayatangaza ukiwa umelala?Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani wajiuzuru.
Haiwezeknani ajira hakuna, hata za ualimu au udaktari na zikitilewa ni kujuana kwa kwenda mbele. Isitoshe biashara nazo zimekiwa ngumu sana.
Sector binafsi kama humjui mtu hupati ajira kabisa. Wapo radhi waajiri mtu dhaifu hajui kitu wala hana vyeti ili mradi ana ndugu kwenye kampuni husika.
Mfano katika kada ya uandishi au utangazaji wa habari, ni kujuana kwa kwenda mbele na hili limethibitishwa na Baruani Muhuza leo. Kwamba mnaanza kumuajiri mtu hana vyeti wala elimu yoyote atajiendeleza humohumo akiwa na ajira. Azam wamemuajiri Salama Ngale hana hata Diploma wala cheti, ndio anasoma sasa hivi wakati tayari kaajiriwa.
Kuna akina Masanaja, Zembwela, Oscar wote wote ni zero brains lakini wamekula shavu.
Tukutane kesho plz.
Hao watoto umewapata wapi wewe binti wa mwaka 2000+! Uoga tu ndiyo umekujaa. Hayo maandamano yanakuhusu kabisa wewe ukiwa kama binti mbichi kabisa.'Joined 2007'
Mimi sitaki kuchangia naogopa kubebwa mkukumkuku kama furushi nina watoto wananitegemea
Au naongea uongo mzee mwenzangu Tate Mkuu ?
Chachage alishawahi kusema. Ukimkuta mwanafunzi wa chuo kikiuu anasoma miaka mitatu/mine bila kugoma. Kuna mambo mawili huwa yanatokea. Aidha haelewi au ana kariri anachofundishwa. Mm niligoma na kuandamana nikiwa chuo. Hawa wanagoma wakiwa chuo?Naunga mkono
Siwezi kucha ugali wangu nikakusanyike sijuwi wapi. Kila siku ajira zinatolewa na watu wanaajiriwa wewe una vyetu feki nakuja kulalama hapa.Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani wajiuzuru.
Haiwezeknani ajira hakuna, hata za ualimu au udaktari na zikitilewa ni kujuana kwa kwenda mbele. Isitoshe biashara nazo zimekiwa ngumu sana.
Sector binafsi kama humjui mtu hupati ajira kabisa. Wapo radhi waajiri mtu dhaifu hajui kitu wala hana vyeti ili mradi ana ndugu kwenye kampuni husika.
Mfano katika kada ya uandishi au utangazaji wa habari, ni kujuana kwa kwenda mbele na hili limethibitishwa na Baruani Muhuza leo. Kwamba mnaanza kumuajiri mtu hana vyeti wala elimu yoyote atajiendeleza humohumo akiwa na ajira. Azam wamemuajiri Salama Ngale hana hata Diploma wala cheti, ndio anasoma sasa hivi wakati tayari kaajiriwa.
Kuna akina Masanaja, Zembwela, Oscar wote wote ni zero brains lakini wamekula shavu.
Tukutane kesho plz.