Natangaza maamdamano ya amani kwa sisi vijana ambao hatuna mwelekeo baada ya kuhitimu vyuo. Tukutane kesho Posta

Natangaza maamdamano ya amani kwa sisi vijana ambao hatuna mwelekeo baada ya kuhitimu vyuo. Tukutane kesho Posta

Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani wajiuzuru.

Haiwezeknani ajira hakuna, hata za ualimu au udaktari na zikitilewa ni kujuana kwa kwenda mbele. Isitoshe biashara nazo zimekiwa ngumu sana.

Sector binafsi kama humjui mtu hupati ajira kabisa. Wapo radhi waajiri mtu dhaifu hajui kitu wala hana vyeti ili mradi ana ndugu kwenye kampuni husika.

Mfano katika kada ya uandishi au utangazaji wa habari, ni kujuana kwa kwenda mbele na hili limethibitishwa na Baruani Muhuza leo. Kwamba mnaanza kumuajiri mtu hana vyeti wala elimu yoyote atajiendeleza humohumo akiwa na ajira. Azam wamemuajiri Salama Ngale hana hata Diploma wala cheti, ndio anasoma sasa hivi wakati tayari kaajiriwa.

Kuna akina Masanaja, Zembwela, Oscar wote wote ni zero brains lakini wamekula shavu.

Tukutane kesho plz.
Ni kweli kuna changamoto ya ajira ila hili sio changamoto ambayo suluhisho lake linahitaji maandamano. Kwa mfano tungeona vijana wanasema kupinga labda uwekezaji wa bandari au misitu mtu unaweza kushawishika. Aidha, Watanzania tujifunze kufanya kazi kwelikweli na kuacha uswahili. Kuna wageni wanapewa kazi hapa nchini sio kwa sababu wana sifa za kipekee ila kwa ukimwajiri Mtz hafanyi kazi kivile zaidi ya kisuka mipango ya upigaji.
 
Kenya Gen Z wanatakiwa waje wajifunze CHADEMA jinsi ya kuandamana Maandamano ya AMANI sio wao wanapora Maduka na Kuchoma hayo maandamano gani sasa?!

Ushamba sana.
 
'Joined 2007'
Mimi sitaki kuchangia naogopa kubebwa mkukumkuku kama furushi nina watoto wananitegemea
Au naongea uongo mzee mwenzangu Tate Mkuu ?
Joined 2007
Daah kitambo sana
Hapo nilikuwa la sita
Nishamaliza chuo 2018
Mpaka now Sina ajiraa
Itoshe kusema jamaa ni mkongwe sana
Ushauri wake uheshimike
'Joined 2007'
Mimi sitaki kuchangia naogopa kubebwa mkukumkuku kama furushi nina watoto wananitegemea
Au naongea uongo mzee mwenzangu Tate Mkuu ?
 
Back
Top Bottom