Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
lete CV ya unayemuoa tutoe ushauri.
Ivuga kuna kipindi ulikuwa una complain kuwa demu wako kabunduliwa na rafiki yako, lengo si kukumbusha huko bali kukuuliza huyo mchumba umempata lini au ndiyo ulikuwa unasagulaga katika kundi ulilokuwa unamiliki? Anyway ndoa ni jambo la msingi, kila la kheri katika hilo ila epukana na tabia ambayo itakupelekea kuoa na kuacha. Kila la kheri.
sasa ivi ukichelewesha tu au kuremba remba watu wanakuja wanabeba unaachwa solembaIvuga mbona ghafla bila uchumba kunani?
Kila la kheri, mm naomba niwe mcmamizi wa hyo ndoa!
Kigogo angalia usije ukamuua IvugaIVUGA hebu ntaku PM bana...kuna kitu na consult kwanza...lakini i will shock you kwa kweli..haiwezekani
Kigogo angalia usije ukamuua Ivuga
Yap this moment huwa haijirudii mara mbili
Na aangalie kwel, manake acjetuulia bwna haruc mtarajiwa!
dah! jamaa kanishtua kweli..