Natangaza ndoa

Ucshituke sana. Si umeomba mapingamizi? Ndo hayo yameanza, uwe na moyo wa uvumilivu.

lakini nimeomba pingamizi liwe la kistaarabu,lisiwe na jazba , si unajua sku hizi mapresha yapo nje nje🙂🙂
 
Hahahahaha! Na hili la ku2miwa kwnye PM nna wasi2 nalo, manake mwnye pingamizi keshasema atakushock, usiingie PM mpk ndoa ipite!
lakini nimeomba pingamizi liwe la kistaarabu,lisiwe na jazba , si unajua sku hizi mapresha yapo nje nje🙂🙂
 
<p>
<font face="Comic Sans MS"><font size="3">yule niliachana naye sasa hivi nataka mtoto wa hapahapa JF</font></font> ,JF ni kila kitu jamani kama hamuamini
</p>
<p>&nbsp;</p>
unataka mtoto wa jf ama UMEPATA.nina wasiwasi kama unatangaza ndoa ama unatafuta mchumba.samahani,huyo kwenye tangazo la ndoa ndo bibie mtarajiwa?
 
<p>
Hahahahaha! Na hili la ku2miwa kwnye PM nna wasi2 nalo, manake mwnye pingamizi keshasema atakushock, usiingie PM mpk ndoa ipite!
</p>
<p>&nbsp;</p>
pingamizi shurti liwe hadharani,kwenye pm itakuwa umbea.tena mwenye pingamizi alete na ushahidi na hati za mali zisizohamishika!
 
Hahahahaha! Na hili la ku2miwa kwnye PM nna wasi2 nalo, manake mwnye pingamizi keshasema atakushock, usiingie PM mpk ndoa ipite!

hahahhahhaha!!!!!!
nakubaliana na wewe kwa 100% ila hili dukuduku mmmm@!! sijui kama ntaweza kujibu lile swali la kiongozi wa dili kuwa ''unakubali kumuoa huyu binti awe wako hadi kifo ndio kiwatenganishe?'' hapa usishangae hapa mtu akimwambia pastor just wait na kuchukua simu na kuzama kwenye inbox kwanza hahaah
 
 
Hahahahahahaha! Basi fanya maamuzi magumu, jivue gamba mapema we icheki hyo PM, PRESURE na SUKARI vikipanda ucjal cz babu yupo.
 
Ivuga unavyojitetea??? PM bdo haija2mwa tu?? Au anasubir mpk shela inunuliwe ndo alete hlo pingamizi? Mambo gn ku2wekea bwna haruc mtarajiwa roho juu?
Finest , mtoto mdogo yeye kila kittu anapeleka mdomoni huwezi kumpa wembe
 
Hahahahahahaha! Basi fanya maamuzi magumu, jivue gamba mapema we icheki hyo PM, PRESURE na SUKARI vikipanda ucjal cz babu yupo.

a - a 🙂🙂 haya ni maamuzi magumu sana kama ya kujivua gamba , siwezi kuifungua sasa hivi ngoja siku ziende ende kwanza
 
<p>
 
hahahahahaha! Ni hapo utakapoifungua wkt umeshakula kiapo cjui nan atakushika, ucje ku2omba ushauri baada ya ndoa kupita!
a - a 🙂🙂 haya ni maamuzi magumu sana kama ya kujivua gamba , siwezi kuifungua sasa hivi ngoja siku ziende ende kwanza
 
Mmh yaani watu mnazimiana kwa mafeki nemu yenu hii kazi bwiiii

Muombe mungu msiwe ndugu esp kama kaka na dada

Kwi kwi kwiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…